Yanga inaongozwa kihuni kama kikundi cha singeli

Yanga inaongozwa kihuni kama kikundi cha singeli

Taarifa hii kutoka SPORTPESA ina kamilisha tu maoni yetu kwamba Yanga SC inaongozwa “KISHIKAJI”. bila kufuata weledi wala utawala bora.

Klabu yenye viongozi imara wenye kufanyakazi kwa kufuata miiko ya uongozi haiwezi kujiingiza kwenye mambo ya KIHUNI kama haya.

Huwa najiulizaga maswali hivi kweli Yanga SC ina idara ya sheria? Kazi yake hasa nini? Mbona kila uchao Yanga wanaingia kwenye mgogoro wa kisheria (kimkataba). Morisson, Feisal, Sportpesa ni mifano tu, yako mengi.

Klabu ishachukua pesa ya SPORTPESA halafu inaenda kuchukua pesa HAIER kwajili ya kitu hicho hicho halafu kwa kuingia mikataba, bado kuna idara ya sheria ya klabu? Huyo mwanasheria kazi yake nini?

Rais wa Yanga SC ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM mpaka leo, Kampuni ya HAIER ni kampuni ambayo ni mshirika mkubwa wa GSM hapa Tanzania, wanapotaka kuitumia Yanga SC kuwekeza Rais wa klabu anasema nini.

Ndiyo maana anashindwa kufuata makataba wa Sportpesa anaamua kuingia wa haier kwakuwa unagusa maslahi yake ya kazini.

Tulikuwa maadui wakati tunatoa maoni ya mgongano wa kimaslahi kumhusu Rais wa klabu tukaitwa majina yote. Lakini hiki ndicho hasa ilikuwa maono yetu. Leo Yanga SC ndiyo hatakama madai itadaiwa klabu, hawa watu wanaweza hata kesho wakaondoka ila klabu itabaki inadaiwa kwa kushindwa kufuata matakwa ya kimkataba.

Bodi ya Wakurugenzi wa Yanga SC walipitishaje hii kitu? Bodi ambayo Makamu wake ni CEO wa Zanzibar Insurance Corporation unaetegemea ajue mambo ya mikataba ya kibiashara akasimama upande wa klabu kwakuwa Rais wake tayari ana maslahi na upande wa pili, lakini naye ni walewale tu, wakute mtandaoni sasa ngebe nyiingi.

BIN KAZUMARI MTIPA
huyo kazumari anajua nini kuhusu mikataba?
 
Unahoji mkataba ambao hujausoma wala hujui specific terms and conditions?

Hujui rights and duties of the parties?

Hujui who has the first right of refusal ?

Hujasikia other parties side story, Yaani sportpesa wameleta complaints tu wewe umeshatoa decision

Reference yako badala iwe kifungu kilichovunjwa unaleta maneno ya Oscar Oscar

Yale yale ya mwanetu Ajibu unanimbia mi niende kutafsiri ww kwann usiende insta ukawe mchekeshaji kama mchekeshaji mwenzako Oscar Oscar [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mbumbumbu akili zenu zipo kwenye sehemu zenu za kutolea kinyesi

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Huu mkataba umewaumiza sana makolo
 
Taarifa hii kutoka SPORTPESA ina kamilisha tu maoni yetu kwamba Yanga SC inaongozwa “KISHIKAJI”. bila kufuata weledi wala utawala bora.

Klabu yenye viongozi imara wenye kufanyakazi kwa kufuata miiko ya uongozi haiwezi kujiingiza kwenye mambo ya KIHUNI kama haya.

Huwa najiulizaga maswali hivi kweli Yanga SC ina idara ya sheria? Kazi yake hasa nini? Mbona kila uchao Yanga wanaingia kwenye mgogoro wa kisheria (kimkataba). Morisson, Feisal, Sportpesa ni mifano tu, yako mengi.

Klabu ishachukua pesa ya SPORTPESA halafu inaenda kuchukua pesa HAIER kwajili ya kitu hicho hicho halafu kwa kuingia mikataba, bado kuna idara ya sheria ya klabu? Huyo mwanasheria kazi yake nini?

Rais wa Yanga SC ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM mpaka leo, Kampuni ya HAIER ni kampuni ambayo ni mshirika mkubwa wa GSM hapa Tanzania, wanapotaka kuitumia Yanga SC kuwekeza Rais wa klabu anasema nini.

Ndiyo maana anashindwa kufuata makataba wa Sportpesa anaamua kuingia wa haier kwakuwa unagusa maslahi yake ya kazini.

Tulikuwa maadui wakati tunatoa maoni ya mgongano wa kimaslahi kumhusu Rais wa klabu tukaitwa majina yote. Lakini hiki ndicho hasa ilikuwa maono yetu. Leo Yanga SC ndiyo hatakama madai itadaiwa klabu, hawa watu wanaweza hata kesho wakaondoka ila klabu itabaki inadaiwa kwa kushindwa kufuata matakwa ya kimkataba.

Bodi ya Wakurugenzi wa Yanga SC walipitishaje hii kitu? Bodi ambayo Makamu wake ni CEO wa Zanzibar Insurance Corporation unaetegemea ajue mambo ya mikataba ya kibiashara akasimama upande wa klabu kwakuwa Rais wake tayari ana maslahi na upande wa pili, lakini naye ni walewale tu, wakute mtandaoni sasa ngebe nyiingi.

BIN KAZUMARI MTIPA
Wewe na huyo kazumari wako; wote mbumbumbu tu. Mwamedi amejaza matangazo kwenye jezi za timu yenu kwa mkataba mbuzi, wala hulalamiki!

Bilioni 20 mpaka leo zinapigwa tu danadana, kimya! Mbet wanatoa gawio dogo kinyume na matarajio, kimya! Manzoki anahudhuria mkutano mkuu wa timu huku akiwa siyo mwanachama wa klabu! Mnashindwa kuhoji.

Badala yake mnajifanya kuwa na uchungu na mambo yaihusuyo Yanga!! Unafiki wa kiwango cha juu sana huu.
 
Taarifa hii kutoka SPORTPESA ina kamilisha tu maoni yetu kwamba Yanga SC inaongozwa “KISHIKAJI”. bila kufuata weledi wala utawala bora.

Klabu yenye viongozi imara wenye kufanyakazi kwa kufuata miiko ya uongozi haiwezi kujiingiza kwenye mambo ya KIHUNI kama haya.

Huwa najiulizaga maswali hivi kweli Yanga SC ina idara ya sheria? Kazi yake hasa nini? Mbona kila uchao Yanga wanaingia kwenye mgogoro wa kisheria (kimkataba). Morisson, Feisal, Sportpesa ni mifano tu, yako mengi.

Klabu ishachukua pesa ya SPORTPESA halafu inaenda kuchukua pesa HAIER kwajili ya kitu hicho hicho halafu kwa kuingia mikataba, bado kuna idara ya sheria ya klabu? Huyo mwanasheria kazi yake nini?

Rais wa Yanga SC ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM mpaka leo, Kampuni ya HAIER ni kampuni ambayo ni mshirika mkubwa wa GSM hapa Tanzania, wanapotaka kuitumia Yanga SC kuwekeza Rais wa klabu anasema nini.

Ndiyo maana anashindwa kufuata makataba wa Sportpesa anaamua kuingia wa haier kwakuwa unagusa maslahi yake ya kazini.

Tulikuwa maadui wakati tunatoa maoni ya mgongano wa kimaslahi kumhusu Rais wa klabu tukaitwa majina yote. Lakini hiki ndicho hasa ilikuwa maono yetu. Leo Yanga SC ndiyo hatakama madai itadaiwa klabu, hawa watu wanaweza hata kesho wakaondoka ila klabu itabaki inadaiwa kwa kushindwa kufuata matakwa ya kimkataba.

Bodi ya Wakurugenzi wa Yanga SC walipitishaje hii kitu? Bodi ambayo Makamu wake ni CEO wa Zanzibar Insurance Corporation unaetegemea ajue mambo ya mikataba ya kibiashara akasimama upande wa klabu kwakuwa Rais wake tayari ana maslahi na upande wa pili, lakini naye ni walewale tu, wakute mtandaoni sasa ngebe nyiingi.

BIN KAZUMARI MTIPA
Mjomba umeanzisha nyuzi nyingi. kuhusu hii kitu. Umeshakuwa hakimu na mkataba umeshauona yaani..

Tutavaa hizo jezi .. mtake ama msitake
 
Haya Mambo ya Sportpesa na Haier kumbe yalipita Shwaa.

Wanasheria wa humu mkakaa kimya.

Leo nimeiona Haier mgongoni, je wapo NBCPL ?
 
Back
Top Bottom