Yanga inapata faida kweli kucheza ligi kuu tu, huku kimataifa hawapo?

Inayocheza kimataifa haina uwanja wake hadhi ya azam hivyo wanaocheza kimataifa nao hasara tu
 
Hivi simba inaendeshwa kwa faida?? Mudi mara kibao analalamika kupata hasara! Upo nchi mzee?? Mliuza garasa lenu kule Morocco limekaa wiki 6 tu, limerudi kucheza na kina Dar city!
 
Wametumia kiasi gani kwenye mashindano hayo yaliyowapa 3.8bn?
Nauli, kambi, hotels etc..
mpe ilimi ya msingi ya biashara.
mapato - matumizi = Faida

Ndugu yetu mapato anaita Faida dah!!!
Mtu huyu kujiajiri hatoweza, atafutiwe tu kibarua.
 
Wewe umeangalia kwenye angle ya ushabiki.
Kama cost = revenue basi hamna faida ni sawa na neutral hamna tofauti kati ya mshiriki na asiyeshiriki kimapato.
Kama cost > revenue basi ni hasara kushiriki hayo mashindano.
Kama cost < revenue basi ni faida kushiriki hayo mashindano.

FYI ni zaidi ya 50,000$ to 100,000$ gharama ya mechi ya kombe la Africa. Thats the cheapest, kwa timu kubwa ni zaidi kwa sababu allowances za michezo hiyo ni kubwa kwa wachezaji na bench.
Ndiyo maana sometimes kwa timu ndogo ni hasara tu kushiriki Caf, lazima uwe na budget kubwa.
 
Subiri Yanga tuchukuwe kombe letu halafu mwaka huu tuingie kwenye club bingwa na hiki kikosi cha akina Mayele ndo ataona moto wetu..
Mwakani lazima tufike Nusu Fainali Championship
 
Subiri Yanga tuchukuwe kombe letu halafu mwaka huu tuingie kwenye club bingwa na hiki kikosi cha akina Mayele ndo ataona moto wetu..
Mwakani lazima tufike Nusu Fainali Championship
Labda kombe la mbuzi.
 
Kwahyo na hili kombe tunaloenda kunyanyua kwapa tarehe 30 April baada ya kuwapakuwa pale kwa Mkapa litakuwa kombe la mbuzi ety..
Labda kombe la mbuzi.
Maana Sasa mnatumia Hadi uchawi kutaka mtushushe kileleni Ila hamuwezi.
Sisi ndo Mabingwa mara nyingi wa nchi hii
 
Yaani umejipinda kuleta hoja utafikiri timu ya Simba imeundwa mwaka 2019 vile. Anza kuhoji kwanza timu yako je wakiachana na miaka ambao inahesabika kwa kufika robo michuano ya kimataifa. Je kipindi ambacho hawakufika huko hawakusajili? Je usajili waliofanya umewapa vipi faida?

Jambo lingine la ziada tu ni kwamba ni kwanzia msimu huu ndio tutashuhudia bingwa wa ligi kuu akupokea 0.5 billion wakati zamani tulishuhudia timu pamoja na kutumia gharama kubwa za kuandaa timu na kujiendesha kucheza mechi lakini zawadi ni milioni 80 tu
 
Simba ilifika nusu fainali ya Klabu bingwa ya Afrika mwaka 1974.
Na ikafika tena fainali ya kombe la Wawakilishi 1993.
Kwa hiyo usifikiri mafanikio hayo yameanza 2019.
Au umeanza kufuatilia mpira 2019?
 
Kwahyo na hili kombe tunaloenda kunyanyua kwapa tarehe 30 April baada ya kuwapakuwa pale kwa Mkapa litakuwa kombe la mbuzi ety..

Maana Sasa mnatumia Hadi uchawi kutaka mtushushe kileleni Ila hamuwezi.
Sisi ndo Mabingwa mara nyingi wa nchi hii
Hizo ngonjera za sisi mabingwa wa mara nyingi halafu mnafaidika nini?Kupigwa nje ndani na timu mbovu kama Rivers United ndio cha kujivunia?
Miaka mnayochukua ubingwa na kuwakilisha Nchi mnaiishia kutia aibu Nchi.
 
Watakupiga mawe
 
Reactions: Tui
Hizo ngonjera za sisi mabingwa wa mara nyingi halafu mnafaidika nini?Kupigwa nje ndani na timu mbovu kama Rivers United ndio cha kujivunia?
Miaka mnayochukua ubingwa na kuwakilisha Nchi mnaiishia kutia aibu Nchi.
Narudia tena SS ni Mabingwa mara nyingi Tz hii hakuna lol ikolonlolote Lina Lowes kutufikia SS kwa ubingwa na Mwaka huu tar 30 April tunaenda kutangaza ubingwa mwingine mgongoni kwa Makolo FC a.k.a Manyaunyau FC.. ss ndio wanaume wa nchi hii hakuna mwingine,, tunaenda kuwafunga Makolo Timu ambayo tumeifunga maraaaaaaaaa nyiiiiiiiiiiiiiiingi kuliko Timu yoyote Dunia hii
 
Simba ilifika nusu fainali ya Klabu bingwa ya Afrika mwaka 1974.
Na ikafika tena fainali ya kombe la Wawakilishi 1993.
Kwa hiyo usifikiri mafanikio hayo yameanza 2019.
Au umeanza kufuatilia mpira 2019?
Yanga hawajawahi kumiliki akili.
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…