Yanga inarudi kwa kasi ya Kimondo: Hivi punde zile kelele za GSM anaharibu Ligi zitarudi, wanautwanga si mchezo!

Yanga inarudi kwa kasi ya Kimondo: Hivi punde zile kelele za GSM anaharibu Ligi zitarudi, wanautwanga si mchezo!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Naona kabisa kuna watu matumbo yashaanza kuuma kwa maumivu, hawawezi kusema lakini wana hofu kubwa mioyoni mwao juu ya Yanga hii inayorudi kwa kasi ya kimondo!

Yanga wanautwanga, wanakasi, wanagusa, wanaachia, wanakuja kwako. Ni mabadiliko makubwa ambayo kocha Ramovich ameanza kuyaonyesha. Timu inakaba kwa pamoja na inashambulia kwa pamoja.

Tunawatahadhalisha wale mbumbumbu waliokuwa wameumaliza maneno baada ya kuyumba kwa Yanga waendelee kuufyata pia kwa sasa. Maana, wakati waliposhindwa, zile kelele za GSM anaharibu ligi hazikusikika tena!

Unagongwa chuma za kutosha na mpira unaonekana!
 
Acha kuwashtua vijana wa Rage. Bado wako usingizini.
Tukubaliane tu Hizi mechi mbili za Simba na Yanga sio kipimo halisi cha ubora wa simba na Yanga.

Yes point 3 ni za kushangilia kwa sababu tu kwenye title race lakini sio za kuisemea team imeimarika

Kagera,Kengold,dodoma Jiji na Tanzania Prison sio team za kuipa ushindani Simba au Yanga.
 
Tukubaliane tu Hizi mechi mbili za Simba na Yanga sio kipimo halisi cha ubora wa simba na Yanga.

Yes point 3 ni za kushangilia kwa sababu tu kwenye title race lakini sio za kuisemea team imeimarika

Kagera,Kengold,dodoma Jiji na Tanzania Prison sio team za kuipa ushindani Simba au Yanga.
Wakati timu yako ya Simba imemfunga Jkt goli la Asante refa mbona ukusema icho unachokisema?
 
Kwahiyo mpo tayari tuwaite Watu weusi (Al Hilal)
Al hilal ndio wamekuwa furaha yenu pamoja na Tabora united,,kwenye maisha Kuna kuanguka kisha unainuka unasimama unaendelea na safari,,yanga walianguka sasa wameinuka na wanasonga mbele kibabe ivyo mavi ya kale ayanuki!
 
HATUWEZI KUSHINDANA WALA KUJIBIZANA NA MASHABIKI WA TIMU INAYOGOMBANIA NAFASI NA KENGOLD.

SISI TUNAONGOZA LIGI SO TUNAONGEA NA WAKUBWA WENZETU WANAOONGOZA LIGI KAMA LIVERPOOL,BAYERN MUNICH,PSG,AL HILAL N.K

TIMU KAMA YANGA,KENGOLD,PAMBA,TANZANIA PRISONS AMBAZO ZINAGOMBANIA KUTOKUSHUKA DARAJA INABIDI WAKUTANE CHINI YA MUEMBE WAPEANE USHAURI ILI WASISHUKE DARAJA.
 
HATUWEZI KUSHINDANA WALA KUJIBIZANA NA MASHABIKI WA TIMU INAYOGOMBANIA NAFASI NA KENGOLD.

SISI TUNAONGOZA LIGI SO TUNAONGEA NA WAKUBWA WENZETU WANAOONGOZA LIGI KAMA LIVERPOOL,BAYERN MUNICH,PSG,AL HILAL N.K

TIMU KAMA YANGA,KENGOLD,PAMBA,TANZANIA PRISONS AMBAZO ZINAGOMBANIA KUTOKUSHUKA DARAJA INABIDI WAKUTANE CHINI YA MUEMBE WAPEANE USHAURI ILI WASISHUKE DARAJA.
🚮🚮🚮🚮
 
Tuumwe matumbo kisa nyinyi wangese wavuta shisha? Tamka kwa saut kuu nani anaongoza ligi kuu nbc ? Manina.
Leo mchezaji wenu wa zamani kawasaidia kushinda mammbwa nyie, na wakat akikutana na simba anajifanya kukaza ndo mana sjui tulitoa droo .
 
Back
Top Bottom