Yanga inatoa wapi wachezaji? Inaniuma sana aisee, jana nimeshindwa kulala

Yanga inatoa wapi wachezaji? Inaniuma sana aisee, jana nimeshindwa kulala

feyzal

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
7,683
Reaction score
15,128
Hata kusalimia sisalimii kifua kimenibana kwa uchungu ,hivi hawa Utopolo wanapata wapi wachezaji jamani haiwezekani kila mchezaji wakichukua anakua moto yaani hawakosei na kama wakikosea basi kidogo sana.

Mfano nimzungumzie namba 3 yao ,yule Boka dah lile jamaa refu,lina control,spidi na lina maamuzi sahihi na linafanya pressing muda wote.

Yanga hii ya sasa ubora walionao hata Simba ile bora ya miaka 4 haijafikia hata nusu ya ubora huu,ndo maana hatukuwahi kuwanyanyasa bado walitufunga pia. Naweza sema sasa ubora wao wako sawa na Al ahly na nina uhakika kwa sasa Yanga ndo timu ambayo magiant wa afrika wote wanaiohofia kukutana nayo kwa sasa. Spirit ya ushindi ya ushindi walio nayo ni hatari sana kwa afya ya ligi yetu itageuka ligi ya kipuuzi sasa.

Soma Pia: Sibishani tena kuhusu ubora wa Yanga Africans, nimekubali yaishe

Angalia MVP wao waliomchukua msimu juzi kiwango chake halafu fananisha na MVP wetu tuliomchukua sisi msimu jana dah yaani yaaani.

Hongera mtani mmejua kutonyoosha🙌🙌

Moyo unaniuma sana😡 ,#UBAYA UBWELA

20240812_093220.jpg
 
Hata kusalimia sisalimii kifua kimenibana kwa uchungu ,hivi hawa Utopolo wanapata wapi wachezaji jamani haiwezekani kila mchezaji wakichukua anakua moto yaani hawakosei na kama wakikosea basi kidogo sana.

Mfano nimzungumzie namba 3 yao ,yule Boka dah lile jamaa refu,lina control,spidi na lina maamuzi sahihi na linafanya pressing muda wote.

Yanga hii ya sasa ubora walionao hata Simba ile bora ya miaka 4 haijafikia hata nusu ya ubora huu,ndo maana hatukuwahi kuwanyanyasa bado walitufunga pia. Naweza sema sasa ubora wao wako sawa na Al ahly na nina uhakika kwa sasa Yanga ndo timu ambayo magiant wa afrika wote wanaiohofia kukutana nayo kwa sasa. Spirit ya ushindi ya ushindi walio nayo ni hatari sana kwa afya ya ligi yetu itageuka ligi ya kipuuzi sasa.

Angalia MVP wao waliomchukua msimu juzi kiwango chake halafu fananisha na MVP wetu tuliomchukua sisi msimu jana dah yaani yaaani.

Hongera mtani mmejua kutonyoosha🙌🙌

Moyo unaniuma sana😡 ,#UBAYA UBWELA
Mwenzako niliangalia mechi ya Jana dakika kumi na tano ikanitosha kabisa kujua kuwa Yanga Wana timu bwana ,nitabaki kuwa Simba moyoni Ila machoni Bora niwe Yanga tu
 
Hii yanga unayoona leo imejengwa kwa kipindi kirefu sana nd mana unaona kama hawakosei hao wote wazur wamekuja kwa misimu tofauti kwa kuangalia uhitaji sis smba usitegemee usajili kikosi chote afu kiwe vile ila muhmu kama msimu huu ukiisha tunabakiza hata wachezaji 6 walofanya vzur sana sio undugu wa kumbakisha mtu alochuja kama kapombe msimu huu hata wangemwacha sawa tu ashaisha ila undugu unatuponza,,unadhan yanga kuwaacha akina yondan,juma abdul,bangala,lomalisa na wengne haikuwa rahs, angalia lomalisa kaachwa bdo wamoto tu
 
Anzeni na nyie mbali kwa kupitisha bakuli, na kuwa na wachezaji walio tayari kufia timu...

Mapinduzi ya Yanga hii mpya yalianza kwa Zahera hapo, kuhakikisha wachezaji wanapigania timu na spirit hiyo imeendelea hadi sasa...
 
Ligi kuu haijaanza ila Simba ni kama imeshakubali kuwa Yanga ni bingwa.

Urefu wa Mukwala tu tulidanganywa. Hana kimo hivyo cha "waaa".

Sasa kama hardware ya mchezaji tunadanganywa itakuwa software yake?
 
Mchukue mchezaji mmoja yoyote muweke pale kwa wanabatiki lazima afanye vizuri sababu Yanga kupitia Nabi ilitengeneza timu ya kikosi cha dhahabu ambacho kiko kwenye peak kwa sasa. Huu ni wakati wao.

Simba ina kikosi kipya, ikiwa kocha atakuwa smart kuunganisha timu na wachezaji wakajituma na mabadiliko ya kuondoa wasiofaa yakafanyika kwa haraka na kuboresha kikosi na yenyewe ikifika kwenye peak itasumbua muda mrefu mno sababu ya umri wa kikosi.
 
Hata kusalimia sisalimii kifua kimenibana kwa uchungu ,hivi hawa Utopolo wanapata wapi wachezaji jamani haiwezekani kila mchezaji wakichukua anakua moto yaani hawakosei na kama wakikosea basi kidogo sana.

Mfano nimzungumzie namba 3 yao ,yule Boka dah lile jamaa refu,lina control,spidi na lina maamuzi sahihi na linafanya pressing muda wote.

Yanga hii ya sasa ubora walionao hata Simba ile bora ya miaka 4 haijafikia hata nusu ya ubora huu,ndo maana hatukuwahi kuwanyanyasa bado walitufunga pia. Naweza sema sasa ubora wao wako sawa na Al ahly na nina uhakika kwa sasa Yanga ndo timu ambayo magiant wa afrika wote wanaiohofia kukutana nayo kwa sasa. Spirit ya ushindi ya ushindi walio nayo ni hatari sana kwa afya ya ligi yetu itageuka ligi ya kipuuzi sasa.

Soma Pia: Sibishani tena kuhusu ubora wa Yanga Africans, nimekubali yaishe

Angalia MVP wao waliomchukua msimu juzi kiwango chake halafu fananisha na MVP wetu tuliomchukua sisi msimu jana dah yaani yaaani.

Hongera mtani mmejua kutonyoosha🙌🙌

Moyo unaniuma sana😡 ,#UBAYA UBWELA

boka ni hatari sana, amekuwa mbadala wa lomalisa kabisa. na ana faulu chache sana tofauti na lomalisa alikuwa na faulu kibao alikuwa liability tu.
 
Mchukue mchezaji mmoja yoyote muweke pale kwa wanabatiki lazima afanye vizuri sababu Yanga kupitia Nabi ilitengeneza timu ya kikosi cha dhahabu ambacho kiko kwenye peak kwa sasa. Huu ni wakati wao.

Simba ina kikosi kipya, ikiwa kocha atakuwa smart kuunganisha timu na wachezaji wakajituma na mabadiliko ya kuondoa wasiofaa yakafanyika kwa haraka na kuboresha kikosi na yenyewe ikifika kwenye peak itasumbua muda mrefu mno sababu ya umri wa kikosi.
Mpaka sasa ni wachezaji wa 4 tu ndo nimeridhika nao mpaka sasa hao wengine tusubiri. Camara,Chamou,Malone na Hussein ndo nimerdhika nao.
 
Back
Top Bottom