Yanga inatoa wapi wachezaji? Inaniuma sana aisee, jana nimeshindwa kulala

Yanga inatoa wapi wachezaji? Inaniuma sana aisee, jana nimeshindwa kulala

boka ni hatari sana, amekuwa mbadala wa lomalisa kabisa. na ana faulu chache sana tofauti na lomalisa alikuwa na faulu kibao alikuwa liability tu.
Jamaa noma sana hata 1 V 1 kuliwini ni kazi afukuzwe nchini halafu yanga wana wachezaji wengi wa kuvunja mistari ya ulinzi kule mbele inawarahisishia sana kazi washambuliaji.
 
Hata kusalimia sisalimii kifua kimenibana kwa uchungu ,hivi hawa Utopolo wanapata wapi wachezaji jamani haiwezekani kila mchezaji wakichukua anakua moto yaani hawakosei na kama wakikosea basi kidogo sana.

Mfano nimzungumzie namba 3 yao ,yule Boka dah lile jamaa refu,lina control,spidi na lina maamuzi sahihi na linafanya pressing muda wote.

Yanga hii ya sasa ubora walionao hata Simba ile bora ya miaka 4 haijafikia hata nusu ya ubora huu,ndo maana hatukuwahi kuwanyanyasa bado walitufunga pia. Naweza sema sasa ubora wao wako sawa na Al ahly na nina uhakika kwa sasa Yanga ndo timu ambayo magiant wa afrika wote wanaiohofia kukutana nayo kwa sasa. Spirit ya ushindi ya ushindi walio nayo ni hatari sana kwa afya ya ligi yetu itageuka ligi ya kipuuzi sasa.

Soma Pia: Sibishani tena kuhusu ubora wa Yanga Africans, nimekubali yaishe

Angalia MVP wao waliomchukua msimu juzi kiwango chake halafu fananisha na MVP wetu tuliomchukua sisi msimu jana dah yaani yaaani.

Hongera mtani mmejua kutonyoosha🙌🙌

Moyo unaniuma sana😡 ,#UBAYA UBWELA

Yanga wanawachezaji wa kawaida,tofauti ni kwamba simba bado uswahili mwingi kwenye uongozi, wapo wachezaji wanacheza kwa maelekezo (licha viwango vyao kufa kabisa), Yanga wameweza kuliondoa hilo
 
Yanga wanawachezaji wa kawaida,tofauti ni kwamba simba bado uswahili mwingi kwenye uongozi, wapo wachezaji wanacheza kwa maelekezo (licha viwango vyao kufa kabisa), Yanga wameweza kuliondoa hilo
Wachezaji wa kawaida?
 

Attachments

  • 20240804_221040.jpg
    20240804_221040.jpg
    13.1 KB · Views: 4
Hata kusalimia sisalimii kifua kimenibana kwa uchungu ,hivi hawa Utopolo wanapata wapi wachezaji jamani haiwezekani kila mchezaji wakichukua anakua moto yaani hawakosei na kama wakikosea basi kidogo sana.

Mfano nimzungumzie namba 3 yao ,yule Boka dah lile jamaa refu,lina control,spidi na lina maamuzi sahihi na linafanya pressing muda wote.

Yanga hii ya sasa ubora walionao hata Simba ile bora ya miaka 4 haijafikia hata nusu ya ubora huu,ndo maana hatukuwahi kuwanyanyasa bado walitufunga pia. Naweza sema sasa ubora wao wako sawa na Al ahly na nina uhakika kwa sasa Yanga ndo timu ambayo magiant wa afrika wote wanaiohofia kukutana nayo kwa sasa. Spirit ya ushindi ya ushindi walio nayo ni hatari sana kwa afya ya ligi yetu itageuka ligi ya kipuuzi sasa.

Soma Pia: Sibishani tena kuhusu ubora wa Yanga Africans, nimekubali yaishe

Angalia MVP wao waliomchukua msimu juzi kiwango chake halafu fananisha na MVP wetu tuliomchukua sisi msimu jana dah yaani yaaani.

Hongera mtani mmejua kutonyoosha🙌🙌

Moyo unaniuma sana😡 ,#UBAYA UBWELA

Toka kwa mbumbu fc uishi kwa raha weweee.
 
Ukitaka ujue hilo, hao wachezaji wa yanga at one time walikuwa wakigombaniwa na simba, na wakati mmoja simba iliwakataa wakaenda yanga.
Hao hao wachezaji ukiwatoa ukawapeleka simba hawatocheza kama wanavyochexza sasa. Why? Mazingira yamebadilika
Mkuu ukizungumza toa na mifano ili nikuelewe.
 
Back
Top Bottom