Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa noma sana hata 1 V 1 kuliwini ni kazi afukuzwe nchini halafu yanga wana wachezaji wengi wa kuvunja mistari ya ulinzi kule mbele inawarahisishia sana kazi washambuliaji.boka ni hatari sana, amekuwa mbadala wa lomalisa kabisa. na ana faulu chache sana tofauti na lomalisa alikuwa na faulu kibao alikuwa liability tu.
Yanga wanawachezaji wa kawaida,tofauti ni kwamba simba bado uswahili mwingi kwenye uongozi, wapo wachezaji wanacheza kwa maelekezo (licha viwango vyao kufa kabisa), Yanga wameweza kuliondoa hiloHata kusalimia sisalimii kifua kimenibana kwa uchungu ,hivi hawa Utopolo wanapata wapi wachezaji jamani haiwezekani kila mchezaji wakichukua anakua moto yaani hawakosei na kama wakikosea basi kidogo sana.
Mfano nimzungumzie namba 3 yao ,yule Boka dah lile jamaa refu,lina control,spidi na lina maamuzi sahihi na linafanya pressing muda wote.
Yanga hii ya sasa ubora walionao hata Simba ile bora ya miaka 4 haijafikia hata nusu ya ubora huu,ndo maana hatukuwahi kuwanyanyasa bado walitufunga pia. Naweza sema sasa ubora wao wako sawa na Al ahly na nina uhakika kwa sasa Yanga ndo timu ambayo magiant wa afrika wote wanaiohofia kukutana nayo kwa sasa. Spirit ya ushindi ya ushindi walio nayo ni hatari sana kwa afya ya ligi yetu itageuka ligi ya kipuuzi sasa.
Soma Pia: Sibishani tena kuhusu ubora wa Yanga Africans, nimekubali yaishe
Angalia MVP wao waliomchukua msimu juzi kiwango chake halafu fananisha na MVP wetu tuliomchukua sisi msimu jana dah yaani yaaani.
Hongera mtani mmejua kutonyoosha🙌🙌
Moyo unaniuma sana😡 ,#UBAYA UBWELA
jamaa linapanda na kushuka na lina mbio, afu jamaa mmoja jana akataka amwuumize. yanga hawatakuja kumwachia yule.Jamaa noma sana hata 1 V 1 kuliwini ni kazi afukuzwe nchini halafu yanga wana wachezaji wengi wa kuvunja mistari ya ulinzi kule mbele inawarahisishia sana kazi washambuliaji.
Yule fundii sanaNoma sana aisee yaani kafunika hadi winga zetu kwa usahihi alionao kwenye kushambulia.
Noma sana Chama atatumika tu pale timu ina ushindi kwa ajili ya kumalizia malizia.
Pole sana kakaKwasasa mechi zote za Yanga nikipata nafasi nitaangalia ,niangalie burudani huku nikiteseka moyoni.
Oya hilo jina silipendi ,,,unazingua😡View attachment 3067600
Eti makolo yanataka yaandamane kisa Chama kuwekwa reserve
Ukitaka ujue hilo, hao wachezaji wa yanga at one time walikuwa wakigombaniwa na simba, na wakati mmoja simba iliwakataa wakaenda yanga.Wachezaji wa kawaida?
Toka kwa mbumbu fc uishi kwa raha weweee.Hata kusalimia sisalimii kifua kimenibana kwa uchungu ,hivi hawa Utopolo wanapata wapi wachezaji jamani haiwezekani kila mchezaji wakichukua anakua moto yaani hawakosei na kama wakikosea basi kidogo sana.
Mfano nimzungumzie namba 3 yao ,yule Boka dah lile jamaa refu,lina control,spidi na lina maamuzi sahihi na linafanya pressing muda wote.
Yanga hii ya sasa ubora walionao hata Simba ile bora ya miaka 4 haijafikia hata nusu ya ubora huu,ndo maana hatukuwahi kuwanyanyasa bado walitufunga pia. Naweza sema sasa ubora wao wako sawa na Al ahly na nina uhakika kwa sasa Yanga ndo timu ambayo magiant wa afrika wote wanaiohofia kukutana nayo kwa sasa. Spirit ya ushindi ya ushindi walio nayo ni hatari sana kwa afya ya ligi yetu itageuka ligi ya kipuuzi sasa.
Soma Pia: Sibishani tena kuhusu ubora wa Yanga Africans, nimekubali yaishe
Angalia MVP wao waliomchukua msimu juzi kiwango chake halafu fananisha na MVP wetu tuliomchukua sisi msimu jana dah yaani yaaani.
Hongera mtani mmejua kutonyoosha🙌🙌
Moyo unaniuma sana😡 ,#UBAYA UBWELA
Mkuu ukizungumza toa na mifano ili nikuelewe.Ukitaka ujue hilo, hao wachezaji wa yanga at one time walikuwa wakigombaniwa na simba, na wakati mmoja simba iliwakataa wakaenda yanga.
Hao hao wachezaji ukiwatoa ukawapeleka simba hawatocheza kama wanavyochexza sasa. Why? Mazingira yamebadilika