Yanga inatoa wapi wachezaji? Inaniuma sana aisee, jana nimeshindwa kulala

Yanga inatoa wapi wachezaji? Inaniuma sana aisee, jana nimeshindwa kulala

Hii yanga unayoona leo imejengwa kwa kipindi kirefu sana nd mana unaona kama hawakosei hao wote wazur wamekuja kwa misimu tofauti kwa kuangalia uhitaji sis smba usitegemee usajili kikosi chote afu kiwe vile ila muhmu kama msimu huu ukiisha tunabakiza hata wachezaji 6 walofanya vzur sana sio undugu wa kumbakisha mtu alochuja kama kapombe msimu huu hata wangemwacha sawa tu ashaisha ila undugu unatuponza,,unadhan yanga kuwaacha akina yondan,juma abdul,bangala,lomalisa na wengne haikuwa rahs, angalia lomalisa kaachwa bdo wamoto tu
Asante kwa kuliona hili.. mimi nimeshangaa sana Simba kubaki na Kapombe na Hussein msimu huu.. wale jamaa wamechoka.. tatizo letu tunaendekeza siasa kwenye kazi. Kikosi hakija tulia kabisa.
 
Asante kwa kuliona hili.. mimi nimeshangaa sana Simba kubaki na Kapombe na Hussein msimu huu.. wale jamaa wamechoka.. tatizo letu tunaendekeza siasa kwenye kazi. Kikosi hakija tulia kabisa.
Ilikua ngumu kuondoa wachezaji waandamizi wote kwa wakati mmoja japo nilishangaa kumuondoa Mwenda na kumuacha kapombe wakati ndo ulikua wakati mzuri kapombe asepe mwenda abaki apambane na kijiri na uzuri mwenda kuna muda anaweza kucheza hata left back.
 
Mchukue mchezaji mmoja yoyote muweke pale kwa wanabatiki lazima afanye vizuri sababu Yanga kupitia Nabi ilitengeneza timu ya kikosi cha dhahabu ambacho kiko kwenye peak kwa sasa. Huu ni wakati wao.

Simba ina kikosi kipya, ikiwa kocha atakuwa smart kuunganisha timu na wachezaji wakajituma na mabadiliko ya kuondoa wasiofaa yakafanyika kwa haraka na kuboresha kikosi na yenyewe ikifika kwenye peak itasumbua muda mrefu mno sababu ya umri wa kikosi.
Mkuu unataka kusema ukimchukua Kapombe, Mzamiru, Tshabalala, Mukwala watachukua namba mbele ya Aucho, Boka, Yao na Dube kisa tu Yanga ipo ktk ubora wao?

Sidhani, Yanga imefanya vyema ktk usajili. Wachezaji wao ni watu wenye uwezo haswa uwanjani, ni talented na well trained.
 
Mchukue mchezaji mmoja yoyote muweke pale kwa wanabatiki lazima afanye vizuri sababu Yanga kupitia Nabi ilitengeneza timu ya kikosi cha dhahabu ambacho kiko kwenye peak kwa sasa. Huu ni wakati wao.

Simba ina kikosi kipya, ikiwa kocha atakuwa smart kuunganisha timu na wachezaji wakajituma na mabadiliko ya kuondoa wasiofaa yakafanyika kwa haraka na kuboresha kikosi na yenyewe ikifika kwenye peak itasumbua muda mrefu mno sababu ya umri wa kikosi.
Mpira haupo hivyo mkuu, je Konikon Kombole, Birigimana, n.k ambao walilazimika kivunjiwa mikataba walifanya vizuri? Kufanya vizuri kwa Yanga hakuna uhusiano na Nabi bali ni kazi nzuri ya watu wa scouting kuleta benchi la ufundi lililo sahihi na replacement zilizo sahihi. Anaondoka Nabi, Mayele, Bangala, Djuma Shaban lakini hauoni pengo. Kama Nabi ndio sababu basi turejee kwa alichokifanya Nabi alipoenda Rabat. Rabati ilitengenezwa na mtangulizi wake na ikawa timu tishio Morocco na ikabeba taji la ligi kuu lakini huyo Nabi kashindwa kuendeleza mafanikio yale badala yake klabu bingwa ikatolewa hatua ya awali, ligi kuu kakosa na FA kakosa. Usidhani ni jambo rahisi kuendeleza ubora wa timu hata kama mtangulizi wako amekuanzishia.
 
Muda ni kitu kizuri sana,watagongwa na IHEFU halafu mtataka kuilaumu TFF kama ilivyo ada kwenu
 
Mkuu unataka kusema ukimchukua Kapombe, Mzamiru, Tshabalala, Mukwala watachukua namba mbele ya Aucho, Boka, Yao na Dube kisa tu Yanga ipo ktk ubora wao?

Sidhani, Yanga imefanya vyema ktk usajili. Wachezaji wao ni watu wenye uwezo haswa uwanjani, ni talented na well trained.
Hukunielewa. Nilisema mchezaji hata wa kawaida akiwekwa katikati ya wanaofanya vizuri uwezekano wa yeye kufanya vizuri ni mkubwa.
 
Mchukue mchezaji mmoja yoyote muweke pale kwa wanabatiki lazima afanye vizuri sababu Yanga kupitia Nabi ilitengeneza timu ya kikosi cha dhahabu ambacho kiko kwenye peak kwa sasa. Huu ni wakati wao.

Simba ina kikosi kipya, ikiwa kocha atakuwa smart kuunganisha timu na wachezaji wakajituma na mabadiliko ya kuondoa wasiofaa yakafanyika kwa haraka na kuboresha kikosi na yenyewe ikifika kwenye peak itasumbua muda mrefu mno sababu ya umri wa kikosi.
Peak ipi karibia kila msimu simba wanaanza upya
 
Mpira haupo hivyo mkuu, je Konikon Kombole, Birigimana, n.k ambao walilazimika kivunjiwa mikataba walifanya vizuri? Kufanya vizuri kwa Yanga hakuna uhusiano na Nabi bali ni kazi nzuri ya watu wa scouting kuleta benchi la ufundi lililo sahihi na replacement zilizo sahihi. Anaondoka Nabi, Mayele, Bangala, Djuma Shaban lakini hauoni pengo. Kama Nabi ndio sababu basi turejee kwa alichokifanya Nabi alipoenda Rabat. Rabati ilitengenezwa na mtangulizi wake na ikawa timu tishio Morocco na ikabeba taji la ligi kuu lakini huyo Nabi kashindwa kuendeleza mafanikio yale badala yake klabu bingwa kstolews hatua ya awali, ligi kuu kakosa na FA kakosa. Usidhani ni jambo rahisi kuendeleza ubora wa timu hata mtangulizi wako amekuanzishia.
Yanga naifananisha na Barca ya Frank Rijkaard akaja kurithiwa na Pep. Kile kizazi Pep anamtoa mtu kama Toure na pengo lake halionekani, kilikuwa kizazi bora kabisa na kikakaa kwenye peak kwa muda mrefu mpaka kupotea.
 
Back
Top Bottom