Hivi mkuu unaamini kabisa Chama anaweza kwenda kucheza mpira Yanga? Mfano pale Yanga anachukua namba ya nani?Nikizipata za Simba nitakujuza mkuu ila mpaka sasa wanakomaa kumbakisha Kibu na Chama japo Chama safari hii anaweza enda Yanga seriously hataki heshima anataka hela