Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Yaani hapo ni kwamba Ndole inacheza na Ndole.Hapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Tabiri matokeo
Tofauto uwanachama na udhamini...kunatofauti kubwa sana...biashara na ushabiki wap na wap..mbona GSM ni mwanachama wa Simba ila anahujumu Simba?.......Ni kama tu Simba inapocheza na Azam Fc ya Mzee Bakhresa (Mwanachama na mweka hazina wa zamani).
Halafu inakuwaje Ligi yetu inadhaminiwa na Kampuni ya Mzee Bakhresa kupitia Azam Media, huku ikiwa na timu pia ya Azam Fc kwenye Ligi yetu!!
Tucheze michezo 10 mfururizo na nyie mkipata hata sare mchukie ubingwaShamba la bwana Joni mbuzi ya bwana Joni
Hamna kesi hapo.Shamba la bwana Joni mbuzi ya bwana Joni
Mfululizo sio mfururizoTucheze michezo 10 mfururizo na nyie mkipata hata sare mchukie ubingwa
Hapo lazima biashara ifanyikeHapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Tabiri matokeo
Hakuna mbumbumbu ataelewa.......Ni kama tu Simba inapocheza na Azam Fc ya Mzee Bakhresa (Mwanachama na mweka hazina wa zamani).
Halafu inakuwaje Ligi yetu inadhaminiwa na Kampuni ya Mzee Bakhresa kupitia Azam Media, huku ikiwa na timu pia ya Azam Fc kwenye Ligi yetu!!
Kwani huyo GSM si anadhamini timu chache tu kwenye hiyo ligi! Kwa nini sasa tusimshauri tajiri yetu namba moja nchini na yeye kudhamini timu zilizobaki, ili tujihakikishie ubingwa wa msimu huu?Tofauto uwanachama na udhamini...kunatofauti kubwa sana...biashara na ushabiki wap na wap..mbona GSM ni mwanachama wa Simba ila anahujumu Simba?
Yanga ikifunga magoli mengi mnasema imenunua mechi, na ikifunga magoli machache au ikapata ushindani mkubwa na hata kupoteza mechi mnasema imeshuka viwango. Hapo ulipo jipige kifuani mara tatu useme 'Sisi ndio Waafrika'.Hapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Tabiri matokeo