Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli majina huumba.Mshangazi umewaza nini hapa?Kaka anambaka dada
Wazee wa kubet hapa ndio pa kuweka milioni na unakuwa na uhakika wa kumpiga mhindiHapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Tabiri matokeo
Tajiri wetu yupo smart kichwani hawezi kufanya huo upuuzi kwasababu ataharibu ligi yetuKwani huyo GSM si anadhamini timu chache tu kwenye hiyo ligi! Kwa nini sasa tusimshauri tajiri yetu namba moja nchini na yeye kudhamini timu zilizobaki, ili tujihakikishie ubingwa wa msimu huu?
Au aliyeruhusiwa kudhamini timu zaidi ya moja kwenye ligi kuu ni GSM peke yake? Majibu tafadhali.
AaahaaaKaka anambaka dada
Hapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Ili watoto wa kitanganyika wawe na akili na kujitambua, MODERETORS natamani chochote cha kuhusu simba na yanga kipungue humu. Mijitu mipumbavu hata chakula haina lakini akili yao kila siku simba yanga. Ndo na Kizimkazi walipowajua wakaona ili wawaibie vzr, toa hela kwenye magoli waendelee kushangilia.. Upumbavu ni tatizo sana duniani.
mwaka 2012 simba 5 yanga 0.Pamba fc lazima afe tena 4many goals! young africans sc ni next level,i think inashiriki league hii kwa vile ni league ya nyumbani wajameni! ndugu zangu wananchi (wanayanga) haijalishi team inadhaminiwa na GSM,M BET Sijui MO,AZAM, 10BET kipigo hakiepukiki kama unabisha leta takwimu kama timu lako halikutandikwa kisawasawa na YOUNG AFRICANS SC! ukileta takwimu basi nipo tayari kupigwa ban ya maisha.
mbona gsm ni mwanachama wa simba na anaikazia simba?.......Ni kama tu Simba inapocheza na Azam Fc ya Mzee Bakhresa (Mwanachama na mweka hazina wa zamani).
Halafu inakuwaje Ligi yetu inadhaminiwa na Kampuni ya Mzee Bakhresa kupitia Azam Media, huku ikiwa na timu pia ya Azam Fc kwenye Ligi yetu!!
yanga hii hii inayoangaika kuifunga timu kibonde kengold goli moja la offside?Tucheze michezo 10 mfururizo na nyie mkipata hata sare mchukie ubingwa
Misimu ya hivi karibuni! let say 3yrs au ten yrsmwaka 2012 simba 5 yanga 0.
2019 SIMBA 4 YANGA 1Misimu ya hivi karibuni! let say 3yrs au ten yrs
2019 hata Dr. Mpango hakua na mpango wa kua makamu wa Rais2019 SIMBA 4 YANGA 1
Yanga bingwaHapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Tabiri matokeo
Tate mkuu [emoji120].......Ni kama tu Simba inapocheza na Azam Fc ya Mzee Bakhresa (Mwanachama na mweka hazina wa zamani).
Halafu inakuwaje Ligi yetu inadhaminiwa na Kampuni ya Mzee Bakhresa kupitia Azam Media, huku ikiwa na timu pia ya Azam Fc kwenye Ligi yetu!!
Jana psg ya emirates na arsenal ya emirates zilichezaHapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Tabiri matokeo