The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
Wamecheza na Watu wenye vitambi tuYANGA ndiyo baba lao
Una uhakika hilo wazo ni la ali kamwe? Maana hapo yanga kuna timu ya ubunifu wa mambo kama hayo inawezekana kuna mwingine ambae hajulikani ndie alietoa hilo wazowanajamvi mambo ni vipi
Uzi huu ni wakuwapongeza watoto wa jangwani.
Binafsi ninafurahishwa na ubunifu wa Ally kamwe wa kuwapa siku wachezaji katika mechi muhimu.
Ally kamwe ni kijana mwenye akili na anayeweza kuchangamsha mchezo wa kandanda nchini. Hii kitu ya kuwapa wachezaji siku zao katika mechi imekuwa chachu ya matokeo mazuri sana na muendelezo mzuri katika klabu ya yanga.
Duniani hii kitu utaipata kwa Dar Young African.
Hakika huu ni ubunifu mkubwa sana kuwahi kutokea katika soka ulimwenguni.
Eng. Hersi nimpe pongezi kwa uongozi wake uliotukuka.
KIDOKEZO: SIMBA MRUDISHENI MWANAMAMA BRABRA.
Kwamba Makolo walipokula gwala walikua wajawazito?Wamecheza na Watu wenye vitambi tu
Nasikia mlinunua ile gameKwamba Makolo walipokula gwala walikua wajawazito?
Mbumbumbu FC, a.k.a Ngada FC wakajifanya kuiga banaa..!! Si wakajifanya eti sijui mgeni rasmi fyokofyokofyokofyokoooo..!!! Mgeni rasmi akala gwalaaa..!! a.k.a kono la nyani..!! Na wakaishia hapo hapo na mambo yao ya mgeni rasmi..!! Walimdhalilisha sana Kibu..!!wanajamvi mambo ni vipi
Uzi huu ni wakuwapongeza watoto wa jangwani.
Binafsi ninafurahishwa na ubunifu wa Ally kamwe wa kuwapa siku wachezaji katika mechi muhimu.
Ally kamwe ni kijana mwenye akili na anayeweza kuchangamsha mchezo wa kandanda nchini. Hii kitu ya kuwapa wachezaji siku zao katika mechi imekuwa chachu ya matokeo mazuri sana na muendelezo mzuri katika klabu ya yanga.
Duniani hii kitu utaipata kwa Dar Young African.
Hakika huu ni ubunifu mkubwa sana kuwahi kutokea katika soka ulimwenguni.
Eng. Hersi nimpe pongezi kwa uongozi wake uliotukuka.
KIDOKEZO: SIMBA MRUDISHENI MWANAMAMA BRABRA.
Hadi ile november 5, 2023 ilikuwa hivyo?Wamecheza na Watu wenye vitambi tu
Muuzaji alikuwa nani?Nasikia mlinunua ile game
Ilikua ya majaribio tuHadi ile november 5, 2023 ilikuwa hivyo?
Akina mikisoniiiiiiiiiiiiiii au siyo..!!!Wamecheza na Watu wenye vitambi tu
Tunakoelekea Makolo watakimbia uwanjani watuachie point 3Nasikia mlinunua ile game
Mlikuwa mnajaribu kufungwa 5..!! Yaani Rage hakukosea..!!Ilikua ya majaribio tu
Mwaka huu hamtoamini macho yenuIlikua ya majaribio tu
Wee utopolo siyo BRABRA!wanajamvi mambo ni vipi
Uzi huu ni wakuwapongeza watoto wa jangwani.
Binafsi ninafurahishwa na ubunifu wa Ally kamwe wa kuwapa siku wachezaji katika mechi muhimu.
Ally kamwe ni kijana mwenye akili na anayeweza kuchangamsha mchezo wa kandanda nchini. Hii kitu ya kuwapa wachezaji siku zao katika mechi imekuwa chachu ya matokeo mazuri sana na muendelezo mzuri katika klabu ya yanga.
Duniani hii kitu utaipata kwa Dar Young African.
Hakika huu ni ubunifu mkubwa sana kuwahi kutokea katika soka ulimwenguni.
Eng. Hersi nimpe pongezi kwa uongozi wake uliotukuka.
KIDOKEZO: SIMBA MRUDISHENI MWANAMAMA BRABRA.
Huwezi kukosa madalali Mpwa hahahahMuuzaji alikuwa nani?
Hongereni Sana SanaMwaka huu hamtoamini macho yenu