Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Dalali anatumwa na mwenye mali, haya nitajie mwenye mali alikuwa nani?Huwezi kukosa madalali Mpwa hahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalali anatumwa na mwenye mali, haya nitajie mwenye mali alikuwa nani?Huwezi kukosa madalali Mpwa hahahah
DahAkina mikisoniiiiiiiiiiiiiii au siyo..!!!
Ahsante sana mkuu, sisi ndio YangaHongereni Sana Sana
MBUMBUMBU.Mlikuwa mnajaribu kufungwa 5..!! Yaani Rage hakukosea..!!
We kolo. Hilo jina linatamkwa Babra ila linaandikwa Barbara.Wee utopolo siyo BRABRA!
BABRA
Na Uto walipokula ngumi walikuwa clinic?Kwamba Makolo walipokula gwala walikua wajawazito?
Hahahahaha..jamaa huwa wanaongea bila hata kufikiria..daha kweli majamaa ni mbumbumbuKwamba Makolo walipokula gwala walikua wajawazito?
yanga anachukua kombeYANGA ndiyo baba lao
hahahahaa haya buana,, kila la heriAhsante sana mkuu, sisi ndio Yanga
Shukranihahahahaa haya buana,, kila la heri
Kibu de .Mbumbumbu FC, a.k.a Ngada FC wakajifanya kuiga banaa..!! Si wakajifanya eti sijui mgeni rasmi fyokofyokofyokofyokoooo..!!! Mgeni rasmi akala gwalaaa..!! a.k.a kono la nyani..!! Na wakaishia hapo hapo na mambo yao ya mgeni rasmi..!! Walimdhalilisha sana Kibu..!!