Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeangalia mechi za Yanga na mechi za timu nyingine Afrika na Europe, Yanga hii inacheza vizuri kuliko Manchester United, Chelsea na Al-Ahly.
Hakuna timu Afrika itachekelea kupangiwa kucheza na Yanga. Eng. Hersi anafurahishwa na mafanikio ya timu sio fedha mfukoni mwake.Naona Ile kauli maarufu na pendwa INAZIDI KUISHI.
Hakika Wenye akili ni wawili tu
1. Mzee KIKWETE na
2. Mzee SANDAY Manara tu.
Timu zote zinafahamu kuwa Yanga imeinyang'anya "Simba timu Bora Afrika" ubingwa wa ligi kwa misimu 2 Sasa, ilicheza final ya CAF confederation na US Algers na kujifunga US Algers kwao, imeingia makundi bila sare wala kufungwa na inaongoza ligi ambayo hata Simba, Azam na Singida big stars wamo humo. Kama wanaiogopa Simba kwanini wasiiogope zaidi Yanga? Maana yake kama Simba inawasumbua basi Yanga itawasumbua zaidi.Hizi hesabu Mamelod alipiga kitambo sana
Hakika ujinga wa uzeeni lazima utakufa nao tuTunza huu Uzi sehemu nzuri. Yanga msimu huu Ina wachezaji na kocha sahihi. Timu zinafungwa goli 5 sio kwa uzembe. Gamondi ana exposure kubwa, sio mwehu kusema timu yake inaweza kucheza na real Madrid au Barcelona.
Sio kwamba Yanga hawaiogopi la hasha!!! Yanga imecheza cafconf fainali ni timu kubwa.... Sasa hili kombe la CAF lina wenyewe... Kiufupi nenda kaangalie marudio ya Wydad na Mamelod na Ahyl na Wydad utanielewa. Kuna muda unacheza wewe unatokq weweTimu zote zinafahamu kuwa Yanga imeinyang'anya "Simba timu Bora Afrika" ubingwa wa ligi kwa misimu 2 Sasa, ilicheza final ya CAF confederation na US Algers na kujifunga US Algers kwao, imeingia makundi bila sare wala kufungwa na inaongoza ligi ambayo hata Simba, Azam na Singida big stars wamo humo. Kama wanaiogopa Simba kwanini wasiiogope zaidi Yanga? Maana yake kama Simba inawasumbua basi Yanga itawasumbua zaidi.
Unajitia aibu mkuu, mtoano hauna point, kwa akili yako utasema yanga kaingia makundi kwa points 6Wacha ujinga, kapata points 2 TU na sare 2.
Usijitafutie kichaka cha kujificha. Kila mechi Ina ukubwa wa pt 3 maximun na 0 minimum, na sare ya point 01. Simba kapata sare 2 au sivyo? Yaani imeingia makundi kinyonge kwa goli la ughaibuni au sivyo?Unajitia aibu mkuu, mtoano hauna point, kwa akili yako utasema yanga kaingia makundi kwa points 6
Unajua maana ya ushabiki? [emoji28][emoji16]Ila huu upumbavu umezidi sana. Yaani hao Mamelodi wenyewe hawawezi kutoa kauli hiyo ya kwamba "...ni lazima tucheze fainali!". Huku siyo kujiamini, ni upumbavu.
Mimi ni Yanga! Ifike isifike, naomba tu niwe mmoja ya wale watakao kuita hilo jina la Zumbulugutu.Nimeangalia mechi za Yanga na mechi za timu nyingine Afrika na Europe, Yanga hii inacheza vizuri kuliko Manchester United, Chelsea na Al-Ahly.
Msaidie huyu zumbukuku.Kwenye knockout hamna points.Points ni kwenye ligi.Kwenye knockout yeyote ni overroll winner wa aggregate ndio mshindi.Unajitia aibu mkuu, mtoano hauna point, kwa akili yako utasema yanga kaingia makundi kwa points 6
Kundi tunalotaka tuwe Yanga Mamelody, Al Ahaly na WydadDah hata makundi bado hayajapangwa. Inasikitisha sana mashabiki wa miaka hii.