Yanga itaenda kuvunja rekodi zote zilizowekwa na Simba kimataifa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu leta ushahidi hapaaa
Usitake watu tuvunje mbavuu, niletee ushahidi hapaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Yanga ipi iliyofika robo fainali shirikisho mwaka 2016
Watu wanachekesha humu ndaniii had baas, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
2016 ROBO FAINALI ndio ilikuwa makundi, kipindi hiko Makundi huwa mawili 2. KUNDI A, & B hivyo hiyo huitwa ROBO FAINALI
Acha uongo wakooo hapaaa.
Makundi sio Robo final.

Kawadanganye FB hukooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hyo robo fainali ilicheza na timugani ili ifike nusu fainali....[emoji3][emoji3][emoji3]
2016 plus 2018 utoporoooo mliburuza mkia hatua ya makundi shirikisho mlikua wa mwisho watu walikua wakijipigia nje ndani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utopolooo wamevurugwaaa vibayaaaaa mnooo hawana pa kushikaaaa, lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…