babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Ukitazama kwa jicho la kimpira utakubaliana na mimi ya kuwa klabu ya Yanga itafika mbali zaidi ya ilipofikia Simba kwenye michuano hii ya CAF.
Ikumbukwe Yanga inashiriki kombe la shirikisho Afrika ambalo mwaka jana Simba alifika robo fainali, ila hakuna klabu yoyote nchini iliyowahi kuvuka nusu fainali iwe klabu bingwa au kombe la shirikisho ambalo limeanzishwa na caf mwaka 2004.
Hivyo tusishangae tukiona Yanga ikichukua kombe hili la shirikisho na kuiletea nchi yetu heshima kubwa.
Ikumbukwe Yanga inashiriki kombe la shirikisho Afrika ambalo mwaka jana Simba alifika robo fainali, ila hakuna klabu yoyote nchini iliyowahi kuvuka nusu fainali iwe klabu bingwa au kombe la shirikisho ambalo limeanzishwa na caf mwaka 2004.
Hivyo tusishangae tukiona Yanga ikichukua kombe hili la shirikisho na kuiletea nchi yetu heshima kubwa.