Yanga itaenda kuvunja rekodi zote zilizowekwa na Simba kimataifa

Yanga itaenda kuvunja rekodi zote zilizowekwa na Simba kimataifa

Wewe ni kijana wa juzi, iko hivi kabla ya 1992 mashindano ya Afrika yalikuwa ni mawili tu yaani African Cup of Champions Clubs ambayo ndio Sasa tunaita Caf Champions league na African Cup Winner's Cup ambalo sasa ndio tunaita Shirikisho.

Ni kweli mwaka 1992 Caf walianzisha shindano lingine la tatu ambalo linaitwa
Caf cup ndilo hili Simba alifika fainali iyo mwaka 1993 na kupoteza hapa hapa nyumbani Uwanja wa uhuru kwa goli 2-0 dhidi ya Stella Abidjan

Na niwakumbushe tu kuwa huo mwaka 1993, Al Ahly ndio walikuwa mabingwa wa African Cup Winner' s Cup Kwa kumfunga Africa Sports National goli 1-0 na kuwa Mabingwa wa Afrika kwa mashindano hayo yaliyokuwa na hadhi ya pili barani Afrika.

Ni upotoshaji wa kimakusudi kusema Simba amewahi kufika fainal kombe lenye Hadhi ya pili Kwa ukubwa barani Afrika maana hata Caf wenyewe hawana hizo taarifa ninyi mnazitoa wapi?

Labda kama utataka kujifuza zaidi nikueleweshe nini mantiki ya kuanzisha kombe hili la Caf Cup na washiriki wake walikuwa wanapatikana vipi
Wewe ni mtoto wa Jana Kombe ambalo yanga anaongoza kuchukua kabla ya kua ligi kuu tz bara liitwaje na kwann wameonganisha na yanga ana ongoza kuchukua kwann isifutwe sababu alikuitwa ligi kuu bara na tofauti yake lime onganishwa?
 
Mimi ni mwananchi halisi lakini sioni aibu kusema Simba ilishafika fainali ya kombe la shirikisho na kupoteza Kwa Stella Artois1993. Mchezo ulichezwa Kwa siku mbili. Wenye kumbukumbu nzuri tukumbusheni

Itakuwa umekunywa ulanzi wee mwananchi una kulevya
 
Na baada mechi akawaita Kichwa cha mwendawazimu? Aisee hili Neno kumbe Simba ndio mwanzilishi wake? utopolo og wewe ni peponi Moja Kwa Moja Leo umenifungua macho. Na kuanzia leo sibishani na wendawazimu ambao Hadi raisi wa nchi aliona uwendawazimi wao
Ni sawa na Simba aje kushindwa katika mechi ya fainali katika CAF Super Cup halafu uwaite kichwa cha mwendawazimu, hilo linaingia akilini kweli? Na wale ambao hawakuwa na hata sifa za kushiriki tuwaitaje? Jaribuni kuepuka aibu ndogo ndogo kama hizi, please!
 
Wewe ni kijana wa juzi, iko hivi kabla ya 1992 mashindano ya Afrika yalikuwa ni mawili tu yaani African Cup of Champions Clubs ambayo ndio Sasa tunaita Caf Champions league na African Cup Winner's Cup ambalo sasa ndio tunaita Shirikisho.

Ni kweli mwaka 1992 Caf walianzisha shindano lingine la tatu ambalo linaitwa
Caf cup ndilo hili Simba alifika fainali iyo mwaka 1993 na kupoteza hapa hapa nyumbani Uwanja wa uhuru kwa goli 2-0 dhidi ya Stella Abidjan

Na niwakumbushe tu kuwa huo mwaka 1993, Al Ahly ndio walikuwa mabingwa wa African Cup Winner' s Cup Kwa kumfunga Africa Sports National goli 1-0 na kuwa Mabingwa wa Afrika kwa mashindano hayo yaliyokuwa na hadhi ya pili barani Afrika.

Ni upotoshaji wa kimakusudi kusema Simba amewahi kufika fainal kombe lenye Hadhi ya pili Kwa ukubwa barani Afrika maana hata Caf wenyewe hawana hizo taarifa ninyi mnazitoa wapi?

Labda kama utataka kujifuza zaidi nikueleweshe nini mantiki ya kuanzisha kombe hili la Caf Cup na washiriki wake walikuwa wanapatikana vipi
Sio kwa kupuyanga huko rudi kasome tena hata google
485219461.jpg
 
Wewe ni kijana wa juzi, iko hivi kabla ya 1992 mashindano ya Afrika yalikuwa ni mawili tu yaani African Cup of Champions Clubs ambayo ndio Sasa tunaita Caf Champions league na African Cup Winner's Cup ambalo sasa ndio tunaita Shirikisho.

Ni kweli mwaka 1992 Caf walianzisha shindano lingine la tatu ambalo linaitwa
Caf cup ndilo hili Simba alifika fainali iyo mwaka 1993 na kupoteza hapa hapa nyumbani Uwanja wa uhuru kwa goli 2-0 dhidi ya Stella Abidjan

Na niwakumbushe tu kuwa huo mwaka 1993, Al Ahly ndio walikuwa mabingwa wa African Cup Winner' s Cup Kwa kumfunga Africa Sports National goli 1-0 na kuwa Mabingwa wa Afrika kwa mashindano hayo yaliyokuwa na hadhi ya pili barani Afrika.

Ni upotoshaji wa kimakusudi kusema Simba amewahi kufika fainal kombe lenye Hadhi ya pili Kwa ukubwa barani Afrika maana hata Caf wenyewe hawana hizo taarifa ninyi mnazitoa wapi?

Labda kama utataka kujifuza zaidi nikueleweshe nini mantiki ya kuanzisha kombe hili la Caf Cup na washiriki wake walikuwa wanapatikana vipi
Ingia hata dugle ukajionee , ingawa umejitahidi kufafanua lakini umepuyanga sana[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
1109800783.jpg
 
Hiyo ndiyo ikasababisha hadi Rais akaacha shughuli yake kuja uwanjani? Hadi mdhamini akatoa ahadi za magari kwa wachezaji?
Ndiyo,mdhamini si hakutegemea timu kufika huko,maana timu mbili zilijitoa kwa kukosa nauli ya kuja dar
 
Kwa hiyo CAF waliwaonea kuwaweka kwenye mashindano ya vilaza?
Huku al hilal na Simba zikiwekwa mabingwa?
Hutokea kwenye mashindano ya mtoano timu Bora kutolewa na mbovu kuingia/kufanikiwa,1992 Denmark hakufuzu euro lakini ndiye alilibeba baada ya kupata nafasi iliyoachwa na nchi mojawapo iliyofuzu,kabla ya hapo kwa hoja zako ungesema Denmark haikua timu bora
 
Hutokea kwenye mashindano ya mtoano timu Bora kutolewa na mbovu kuingia/kufanikiwa,1992 Denmark hakufuzu euro lakini ndiye alilibeba baada ya kupata nafasi iliyoachwa na nchi mojawapo iliyofuzu,kabla ya hapo kwa hoja zako ungesema Denmark haikua timu bora
Kwa hiyo Yanga tangia mwaka 1998 inaandamwa na bahati mbaya tu...!?
 
Lhiyo Yanga tangia mwaka 1998 inaandamwa na bahati mbaya tu...!?
Labda Kama unaongelea klabu bingwa,Ila Kama kufika makundi CAF kafika Mara mbili hapa kati,na Mara zote akitolewa na Al ahliy,hata nani afrika hii akitane na ahli hatua ya makundi,hatoboi,ahli alimtoa yanga kwa penalty na Mara ya pili yanga alisawazisha kule Cairo ahli wakaongeza goli dk za majeruhi na wakashangilia dk 4 na refa akamaliza mpira,tangu 98 timu zetu hazikua Bora,zilikua na ukata,kwa Sasa makundi CAF itakua kawaida na wakiwekeza vizuri robo itakua kawaida Sana hasa kwa yanga,Simba anatakiwa fanya overhaul,wazee wengi pale
 
Labda Kama unaongelea klabu bingwa,Ila Kama kufika makundi CAF kafika Mara mbili hapa kati,na Mara zote akitolewa na Al ahliy,hata nani afrika hii akitane na ahli hatua ya makundi,hatoboi,ahli alimtoa yanga kwa penalty na Mara ya pili yanga alisawazisha kule Cairo ahli wakaongeza goli dk za majeruhi na wakashangilia dk 4 na refa akamaliza mpira,tangu 98 timu zetu hazikua Bora,zilikua na ukata,kwa Sasa makundi CAF itakua kawaida na wakiwekeza vizuri robo itakua kawaida Sana hasa kwa yanga,Simba anatakiwa fanya overhaul,wazee wengi pale
Siongelei mashindano ya walioshindwa, nazungumzia Champions League ambayo ndio ilikuwa ndoto kubwa ya Yanga, kufika makundi ya Champions league.

Umesema Yanga inamfunga yoyote, nikakuuliza inakuaje ipo kwa waliofeli?
 
Back
Top Bottom