Yanga itaenda kuvunja rekodi zote zilizowekwa na Simba kimataifa

Yanga itaenda kuvunja rekodi zote zilizowekwa na Simba kimataifa

Labda Kama unaongelea klabu bingwa,Ila Kama kufika makundi CAF kafika Mara mbili hapa kati,na Mara zote akitolewa na Al ahliy,hata nani afrika hii akitane na ahli hatua ya makundi,hatoboi,ahli alimtoa yanga kwa penalty na Mara ya pili yanga alisawazisha kule Cairo ahli wakaongeza goli dk za majeruhi na wakashangilia dk 4 na refa akamaliza mpira,tangu 98 timu zetu hazikua Bora,zilikua na ukata,kwa Sasa makundi CAF itakua kawaida na wakiwekeza vizuri robo itakua kawaida Sana hasa kwa yanga,Simba anatakiwa fanya overhaul,wazee wengi pale
Unachanganya preliminary stage na makundi, kwenye makundi mara mbili zote alikuwa nafasi ya mwisho. Zile zilikuwa ni mechi za kuwania kuingia kwenye club bingwa.
 
Kombe la shirikisho limetokana CAF Cup na African Cup Winners' Cup na si vinginevyo kama wewe ulivyoeleza.

Mbona Kila kitu kiko wazi ila mnapenda ubishi wa kijinga !!!!
Tutajie timu ya kwanza kuchukua kombe la CAF confederation cup
 
Kombe la shirikisho limetokana CAF Cup na African Cup Winners' Cup na si vinginevyo kama wewe ulivyoeleza.

Mbona Kila kitu kiko wazi ila mnapenda ubishi wa kijinga !!!!
We jamaa ni mwehu, kasome alochoandika afu urudi tena
 
Umesoma vizuri maelezo ya jamaa wa kwanza au ?
Rudi wewe kasome, amekuambia Confederation cup imeanza rasmi 2004 baada ya kuunganishwa mashindano mawili, Winners Cup Na CAF cup. We ulichopost umekisoma kweli?
 
Yanga robo fainai out
Simba robo fainai out

Kuchukua club bingwa au shirikisho inahitaji club zetu Simba na yanga ziwe na champions material Time and money over

Watani wa jadi Asante kwa kushiriki tukutane msimu ujao
 
Rudi wewe kasome, amekuambia Confederation cup imeanza rasmi 2004 baada ya kuunganishwa mashindano mawili, Winners Cup Na CAF cup. We ulichopost umekisoma kweli?
Sasa ulichoandika hapa ndicho nilichopost, na sicho kilichoandikwa na huyo jamaa.

Kwa mujibu wa huyo mtu anadai hapo mwanzo kulikuwa na mashindano mawili ambayo champion league na Winners cup ambayo Sasa ni kombe shirikisho, na baadaye likaundwa CAF cup ambayo hilo ndio simba alifika fainali, ambalo hilo kombe halijulikani na hata wenyewe CAF.

Hivyo huyo alikuwa anapinga kuwa Simba haijawai kufika fainali kombe la shirikisho.

Nadhani popoma utakuwa umeelewa wapi mimi na yeye tuliopokuwa na tofauti.

Ukweli ni kwamba kombe la shirikisho halijatokana na Winners cup peke yake bali limetokana na Winners cup na CAF cup
 
Rudi wewe kasome, amekuambia Confederation cup imeanza rasmi 2004 baada ya kuunganishwa mashindano mawili, Winners Cup Na CAF cup. We ulichopost umekisoma kweli?
Muwe mnasoma vizuri kabla ya kujibu watu

nyambaf..
 
Sasa ulichoandika hapa ndicho nilichopost, na sicho kilichoandikwa na huyo jamaa.

Kwa mujibu wa huyo mtu anadai hapo mwanzo kulikuwa na mashindano mawili ambayo champion league na Winners cup ambayo Sasa ni kombe shirikisho, na baadaye likaundwa CAF cup ambayo hilo ndio simba alifika fainali, ambalo hilo kombe halijulikani na hata wenyewe CAF.

Hivyo huyo alikuwa anapinga kuwa Simba haijawai kufika fainali kombe la shirikisho.

Nadhani popoma utakuwa umeelewa wapi mimi na yeye tuliopokuwa na tofauti.

Ukweli ni kwamba kombe la shirikisho halijatokana na Winners cup peke yake bali limetokana na Winners cup na CAF cup
CAF CUP haikuwa shirikisho sasa usichoelewa ni nini? CAF WINNERS ndio ilitambulika kama Shirikisho mbona unakaza ubongo???
 
CAF CUP haikuwa shirikisho sasa usichoelewa ni nini? CAF WINNERS ndio ilitambulika kama Shirikisho mbona unakaza ubongo???
Vilaza hawaelewagi
1464791020.jpg
 
Back
Top Bottom