Yanga itaendelea kufaidika na Feisal Salum kwa mujibu wa vipengele vya mkataba

Yanga itaendelea kufaidika na Feisal Salum kwa mujibu wa vipengele vya mkataba

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Ni wazi yanga hawakukubali kumuuza feisal kwenda Azam kinyonge bali walipiga hesabu ndefu na zenye faida,

Yanga atanufaika na mauzo ya feisal akiuzwa sehemu yeyote nje ya nchi kwa kupata asilimia 25 ya mauzo yake, na akiuzwa, kutolewa kwa mkopo ama kuvunja mkataba na kusajiliwa na timu yeyote ndani ya nchi Yanga itahitaji bilioni 1 kutoka Azam!

Kipengele hicho kimewekwa makhususi kuzuia hujuma yeyote ile ama mipango yeyote ile endapo ilikuwepo ya Feisal kwenda timu yeyote nje ya Azam! Ikitokea ivyo atakayehumia ni Azam na Yanga atakunja noti zake kiroho safi!
 
Ni wazi yanga awakukubali kumuuza feisal kwenda Azam kinyonge bali walipiga hesabu ndefu na zenye faida,

Yanga atanufaika na mauzo ya feisal akiuzwa sehemu yeyote nje ya nchi kwa kupata asilimia 25 ya mauzo yake, na akiuzwa, kutolewa kwa mkopo ama kuvunja mkataba na kusajiliwa na timu yeyote ndani ya nchi yanga itahitaji bilioni 1 kutoka Azam!

Kipengele hicho kimewekwa makhususi kuzuia hujuma yeyote ile ama mipango yeyote ile endapo ilikuwepo ya feisal kwenda timu yeyote nje ya Azam! Ikitokea ivyo atakayehumia ni Azam na yanga atakunja noti zake kiroho safi!
Unaonaje ukirudi shule ili ujifunze matumizi ya h mfano hawakukubali au atakayeumia
 
Kama mkataba haukuwekwa wazi, hatujui kama kanunuliwa au kavunja mkataba kama ilivyokuwa approach yake ya mwanzo, basi all the rest ni ngonjera sheikh!
 
Yes inabidi wapate faida baada ya kufanyainvestment ya kutosha ,yanga wamemtoa Fei ili kutimiza matakwa ya mkuu wa nchi.
 
uliona wapi club ikanufaika na mchezaji walievunja nae mkataba? au kwenye mpira umekuja kwasababu ya kubet
Aliuzwa sio kuvunja mkataba, kasome press release za timu zote
 
uliona wapi club ikanufaika na mchezaji walievunja nae mkataba? au kwenye mpira umekuja kwasababu ya kubet
Kichwani umebeba ubongo au makamasi? Mkataba uliuvunja wewe?
 
Ni wazi yanga awakukubali kumuuza feisal kwenda Azam kinyonge bali walipiga hesabu ndefu na zenye faida,

Yanga atanufaika na mauzo ya feisal akiuzwa sehemu yeyote nje ya nchi kwa kupata asilimia 25 ya mauzo yake, na akiuzwa, kutolewa kwa mkopo ama kuvunja mkataba na kusajiliwa na timu yeyote ndani ya nchi yanga itahitaji bilioni 1 kutoka Azam!

Kipengele hicho kimewekwa makhususi kuzuia hujuma yeyote ile ama mipango yeyote ile endapo ilikuwepo ya feisal kwenda timu yeyote nje ya Azam! Ikitokea ivyo atakayehumia ni Azam na yanga atakunja noti zake kiroho safi!
yanga hawatafaidika kwa lolote kwasababu fei mpira wake ndio umeishia hapo. mark my words.
 
Ni wazi yanga awakukubali kumuuza feisal kwenda Azam kinyonge bali walipiga hesabu ndefu na zenye faida,

Yanga atanufaika na mauzo ya feisal akiuzwa sehemu yeyote nje ya nchi kwa kupata asilimia 25 ya mauzo yake, na akiuzwa, kutolewa kwa mkopo ama kuvunja mkataba na kusajiliwa na timu yeyote ndani ya nchi yanga itahitaji bilioni 1 kutoka Azam!

Kipengele hicho kimewekwa makhususi kuzuia hujuma yeyote ile ama mipango yeyote ile endapo ilikuwepo ya feisal kwenda timu yeyote nje ya Azam! Ikitokea ivyo atakayehumia ni Azam na yanga atakunja noti zake kiroho safi!
Source? Weka huo mkataba hapa.
Au ndio wale wa 'trust me bro'
 
Back
Top Bottom