Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo Sheria ya kusema duniani kote timu hupimwa kwa mashindano ya nje imewekwa na nani? Au ni mawazo yako tu?
Kwahiyo kaiser chiefs kipindi anashika nafasi ya 8 kwenye ligi huku akifika fainali ya CAF alikua bora sana kuliko mamelods aliyekua bingwa wa south?
Toka muanze kuongea ishu ya bahasha mpaka Leo hakuna aliyejitokezq kupeleka ushahidi TFF au FIFA Ili tushushwe kabisa daraja?
Yanga mbovu ya Mwinyi Zahera, vipi hii ya Nabi yenyewe sio mbovu?Derby zinachezwa nje ya uwanja kwani yanga mbovu ya mwinyi zahera ilifungwa lini na simba yanga kwa uchawi ni vile tu ilitokea bahati mbaya kwa simba kule sauz imekuwa nongwa ila yanga wachawi senzo anawajua na aliwaambia kama wanataka kufika mbali waache ulozi
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Hakuna team dhaifu Tanzania kuliko yanga ni basi tu soka la bongo linaendeshwa kienyeji kama unabisha subiri Caf confederation cup halafu urudi hapa maana aibu inakuja.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Ihefu ipo sayari gani?Sioni Timu ya kuifinga Yanga AfricaAfrican Tanzania na Afraca kwa ujumla
Duniani kote team inapimwa kwa mashindano ya nje ya league ambayo kwa bara letu ni Caf champions league sasa kumfunga mtibwa na team nyingine zinajifunga zenyewe ndio unasema una team team nzuri ipo Caf confederation cup wakati team mbovu ipo Caf champions league umeona tofauti hapo nyie endeleeni kupitisha bahasha kiama chenu kinakuja
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Me nawajua Makolo tu tunaowachomekaga misimu yoteIhefu ipo sayari gani?
IhefuMe nawajua Makolo tu tunaowachomekaga misimu yote
Sioni Timu ya kuifinga Yanga AfricaAfrican Tanzania na Afraca kwa ujumla
Muhimu zaidi mlifungwa hayo mengine ziada tu.Hata al hilal hawaamini kama walitufunga kwa moto tuliowapelekea..!
Tar12
[emoji23][emoji23][emoji23] Jamaa anadhan wale ni namungo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mtashikwa makalio nyiee.sio kmc hao
Kaka unasema yanga hii hii au nyingine???Kwa kikosi cha Yanga sioni kama hawa TP Mazembe kama watatoboa. Cheki kikosi hiki;
Diarra
D. shaban
Lomalisa
Job
Doumbia
Bangala litombo
Aucho
Aziz key
Kenedy Musonda
Mayele
Mechi nane na timu zenye ushindani gani????????Timu pekee yenye ushindani na yanga ni simba!!!!Timu dhaifu inacheza mechi 8 mfululizo sasa bila kupoteza huku timu ambayo sio dhaifu haiwezi fikisha mechi hata 5 kushinda mfululizo bila kutoa sare.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kaka yankule umetisha karibu msimbaziii🤣🤣🤣🤣Sioni Timu ya kuifinga Yanga AfricaAfrican Tanzania na Afraca kwa ujumla
Yanga haina ushindani na Simba bali Ina ushindani na timu zote kwenye ligi kuu.Mechi nane na timu zenye ushindani gani????????Timu pekee yenye ushindani na yanga ni simba!!!!
Aibu kubwa zaidi ya zile hamsa za Simba?Hakuna team dhaifu Tanzania kuliko yanga ni basi tu soka la bongo linaendeshwa kienyeji kama unabisha subiri Caf confederation cup halafu urudi hapa maana aibu inakuja.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app