Yanga itaifunga TP Mazembe

Teheheeeeeeeeeeeeeeee,yanga hii hii ya kubebwa kwenye ligi ya bongo?
 

Unamuelezea Nn Huyo Mtu Mwenyewe Hata Mpira Haujui..
 
Yanga mbovu ya Mwinyi Zahera, vipi hii ya Nabi yenyewe sio mbovu?
 
Hakuna team dhaifu Tanzania kuliko yanga ni basi tu soka la bongo linaendeshwa kienyeji kama unabisha subiri Caf confederation cup halafu urudi hapa maana aibu inakuja.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app

Nyie Bado Mtaendelea Kuwa Underdog Kwa Yanga, Mtaambulia Sare Na Vipigo Tu…Na Ubingwa Mtausikia Kwenye Bomba Kwa Miaka Mingi Ijayo…NA HAKUNA KITU MTAFANYA [emoji23][emoji23]
 

Wewe Hakuna Kitu Unajua Kuhusu Mpira, Wee Jamaa Ni MBUMBUMBU Pro Max [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
DUUUU!!!!!

MZAWA NI MMOJA TU.

DICSON JOB.
TANZANIA YANGU.
 
Timu dhaifu inacheza mechi 8 mfululizo sasa bila kupoteza huku timu ambayo sio dhaifu haiwezi fikisha mechi hata 5 kushinda mfululizo bila kutoa sare.
Mechi nane na timu zenye ushindani gani????????Timu pekee yenye ushindani na yanga ni simba!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…