Alistalikopaul
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 720
- 1,995
Haya ngoja tuendelee kutunza hii risitiHome vs MAZEMBE : Loss - 0 Points
Away vs Real Bamako: Loss - 0 Points
Home vs Real Bamako: Draw/Win -1/3 Points
Home vs Monastir: Draw/Loss - 1/0 Points
Away vs MAZEMBE: Loss - 0 Points
Total Points: 4 or Less
[emoji2303][emoji2303][emoji2303] Hakuna Robo Fainali ya Points 4 hata kama ni Kombe la Ma-loosers...[emoji23][emoji23][emoji23]
WEKA HII RISITI.... [emoji38][emoji38]
😂😂😂 As usual much knowKwenye makaratasi mnashinda 5-0, ila kama game inapigwa uwanjani kaa kwa kutulia...
Game za ligi kuu tu ushindi wenu kila siku ni 1-0, mpaka mpangiwe timu ya daraja la nne ASFC ndio muifunge 7-0[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huwa unaongeaga kama umekatwa kichwaHakuna team dhaifu Tanzania kuliko yanga ni basi tu soka la bongo linaendeshwa kienyeji kama unabisha subiri Caf confederation cup halafu urudi hapa maana aibu inakuja.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu Leo mazembe kapewa bahasha as wellDuniani kote team inapimwa kwa mashindano ya nje ya league ambayo kwa bara letu ni Caf champions league sasa kumfunga mtibwa na team nyingine zinajifunga zenyewe ndio unasema una team team nzuri ipo Caf confederation cup wakati team mbovu ipo Caf champions league umeona tofauti hapo nyie endeleeni kupitisha bahasha kiama chenu kinakuja
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
😂😂😂 SawadogoYanga ndio underdog kwenye ilo kundi. Kila mmoja anamuona ndio pakupatia points.
Kaka nakusalimia popote ulipoHakuna team dhaifu Tanzania kuliko yanga ni basi tu soka la bongo linaendeshwa kienyeji kama unabisha subiri Caf confederation cup halafu urudi hapa maana aibu inakuja.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Uwe unanyamaza kujiepushia aibu za kijinga kama hizi.Hakuna team dhaifu Tanzania kuliko yanga ni basi tu soka la bongo linaendeshwa kienyeji kama unabisha subiri Caf confederation cup halafu urudi hapa maana aibu inakuja.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Muulize Mazembe kala ngapi?Kwenye makaratasi mnashinda 5-0, ila kama game inapigwa uwanjani kaa kwa kutulia...
Game za ligi kuu tu ushindi wenu kila siku ni 1-0, mpaka mpangiwe timu ya daraja la nne ASFC ndio muifunge 7-0[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Itakuwa Mazembe hawakuona hii comment yako. Wakaishia kuiona Horoya na Raja.Yanga ndio underdog kwenye ilo kundi. Kila mmoja anamuona ndio pakupatia points.
Aibu gani we shoga, haya tumeshinda sasa lete mzunguHakuna team dhaifu Tanzania kuliko yanga ni basi tu soka la bongo linaendeshwa kienyeji kama unabisha subiri Caf confederation cup halafu urudi hapa maana aibu inakuja.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Aibu imeanza kunyemelea nani😂Hakuna team dhaifu Tanzania kuliko yanga ni basi tu soka la bongo linaendeshwa kienyeji kama unabisha subiri Caf confederation cup halafu urudi hapa maana aibu inakuja.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Sawa mwenye baba MBUMBUMBU NDUNDUKAUmepanic mbumbumbu dunduka
Utani tu brother haimaanishi kama ni kweliSawa mwenye baba MBUMBUMBU NDUNDUKA
BABAKO NDIO MIMI SIMBA NILIYE KWENYE MABINGWA NA SIO SHIRIKISHO,USIWAZE MBALI SANA MKUU,HAHAAAAAAUtani tu brother haimaanishi kama ni kweli
Tulie vipers aje kuwakata ngebe sijui mtakimbilia wapiBABAKO NDIO MIMI SIMBA NILIYE KWENYE MABINGWA NA SIO SHIRIKISHO,USIWAZE MBALI SANA MKUU,HAHAAAAAA
Duu ndio tumefikia huku kwenye kupeana majina hayaAibu gani we shoga, haya tumeshinda sasa lete mzungu
Hahahaaaaa.Tulie vipers aje kuwakata ngebe sijui mtakimbilia wapi
Kwa hyo mmechukua ubingwa tayari wa CafUwe unanyamaza kujiepushia aibu za kijinga kama hizi.
Hiyo timu dhaifu mbona huifungi mpaka waomba kura wenu wanaahidi wataifunga ili muwape muda mwingine wa kuongoza?
Haya hiyo aibu ameishia kuipata nani kama si wewe kukung'utwa goli tatu kwenye kibaraza chako.
Punguza ujuaji na kuishi kwa kukariri. Unadhani siku zote maisha ni 'A'. Unajihesabia haki na ushindi, umeishia kuloa. Sura ziko chini kwa fedheha.
Hahaaaaa,vijana hawajui utani.Duu ndio tumefikia huku kwenye kupeana majina haya
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Nipo lubumbashi kuna nini kwani hko mbona kelele nyingiKaka nakusalimia popote ulipo