mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Zile video zina harufu ya BAHASHA au MIAMALA YA SIMU.Ahahahahahahaaa hatari..!! Nilijua umeona muamala wa simu, muamala wa benki, bahasha au mtu akipewa cash..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile video zina harufu ya BAHASHA au MIAMALA YA SIMU.Ahahahahahahaaa hatari..!! Nilijua umeona muamala wa simu, muamala wa benki, bahasha au mtu akipewa cash..!!
Tatizo ni kutojitunza. Tabia za nje ya uwanja ndiyo zinaathiri kiwango chake.Jamaa ana kitu asipuuzwe [emoji1787][emoji1787]
Unaelewa maana ya zina harufu? Harufu ya pilau, siyo pilau. Harufu ya nyama siyo nyama.Zile video zina harufu ya BAHASHA au MIAMALA YA SIMU.
Means dalili .au kiashiria cha BAHASHAUnaelewa maana ya zina harufu? Harufu ya pilau, siyo pilau. Harufu ya nyama siyo nyama.
Kiashiria siyo lazima kiwe uhalisia. Hapo ndipo panapotahitajika uchunguzi. Wewe ulichofanya ni kukoncludi kuwa kuna bahasha bila uchunguzi. Ni hisia zako zaidi na upenzi wa timu na si michezoMeans dalili .au kiashiria cha BAHASHA
Hivi mkuu mfano kuku wako amepotea,,halafu unakuta manyoya kwenye nyumba jirani huoni kama Ni kiashiria kwamba yeye ndy mwizi?Kiashiria siyo lazima kiwe uhalisia. Hapo ndipo panapotahitajika uchunguzi. Wewe ulichofanya ni kukoncludi kuwa kuna bahasha bila uchunguzi. Ni hisia zako zaidi na upenzi wa timu na si michezo
Huku Uturuki mambo ni bam bam.Kwa Usajili mnao ufanya ni wazi Sasa ile tabia yenu ya Kulalamika inaendelea. Mwakalebela na malalamiko yake ya kutaka kujitoa Ligi ya bongo ajiandae.
Misimu yote iliyopita hatujasikia malalamiko toka kwa Simba. Mambo ya kusema TFF inapendelea, mara ratiba inaibeba Yanga hayo hayakuwepo.
Sasa jiandaeni HATUTAKI kelele
.Huku Uturuki mambo ni bam bam.View attachment 2693986
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app