Yanga jiandaeni kuzinunua jezi mlizouza kwa mashabiki wenu

Yanga jiandaeni kuzinunua jezi mlizouza kwa mashabiki wenu

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Yanga wamefanya kosa kubwa kwenye mkataba wao na SportPesa kuliko wengi tunavyodhani na madhara yake ni makubwa sana kwa mdhamini wao yaani SportPesa. Yaani mimi ningekuwa mshabiki wa Yanga ningemtafuta huyu aliyetoa wazo hili maana ni msaliti mkubwa sana atakayeenda kuiharibia timu si tu kibiashara na kifedha lakini pia focus kwenye mechi zinazofuata.

Athari ya walichofanya Yanga ni kubwa kwa sababu hata ikitokea leo Yanga wakaghairi kutovaa jezi hizi mpya katika mechi zao za CAF Shirikisho, jezi hizi tayari zipo mtaani na watu wanazivaa zaidi ya zile za zamani kwa wale waliokuwa na uwezo wa kuzinunua.

Hawa SportPesa wakikomaa wakasema wamesamehe hawataidai fidia au kuvunja mkataba, watakachotaka kufanya the least ni kuitaka Yanga kuzinunua jezi zote walizouza ili kuziondoa mitaani. Na tunajua wakisema wazinunue kwa bei ile ile waliyouzia mwanzo, wachache sana watarudisha.

Hivyo Yanga itabidi waweke bei kuanzia 80,000/= kwa kila jezi ndiyo labla itawashawishi watu kuzirudisha.

Mgogoro mkubwa unanukia Yanga.
 
Yanga wamefanya kosa kubwa kwenye mkataba wao na SportPesa kuliko wengi tunavyodhani na madhara yake ni makubwa sana kwa mdhamini wao yaani SportPesa...
Sasa ndo umeandika nini hiki? Jaribuni kuwa mnaficha ujinga wenu basi, na wewe inawezekana ndio familia inakutegemea kuiongoza kwa akili za namna hii🤔🤔🤔
 
Nb : wenye akili ni wawili tu pale jangwani
 
Yanga wamefanya kosa kubwa kwenye mkataba wao na SportPesa kuliko wengi tunavyodhani na madhara yake ni makubwa sana kwa mdhamini wao yaani SportPesa. Yaani mimi ningekuwa mshabiki wa Yanga ningemtafuta huyu aliyetoa wazo hili maana ni msaliti mkubwa sana atakayeenda kuiharibia timu si tu kibiashara na kifedha lakini pia focus kwenye mechi zinazofuata.

Athari ya walichofanya Yanga ni kubwa kwa sababu hata ikitokea leo Yanga wakaghairi kutovaa jezi hizi mpya katika mechi zao za CAF Shirikisho, jezi hizi tayari zipo mtaani na watu wanazivaa zaidi ya zile za zamani kwa wale waliokuwa na uwezo wa kuzinunua.

Hawa SportPesa wakikomaa wakasema wamesamehe hawataidai fidia au kuvunja mkataba, watakachotaka kufanya the least ni kuitaka Yanga kuzinunua jezi zote walizouza ili kuziondoa mitaani. Na tunajua wakisema wazinunue kwa bei ile ile waliyouzia mwanzo, wachache sana watarudisha.

Hivyo Yanga itabidi waweke bei kuanzia 80,000/= kwa kila jezi ndiyo labla itawashawishi watu kuzirudisha.

Mgogoro mkubwa unanukia Yanga.
Hapo sasa watasikitika zaidi, MASIKITIKO FC
 
Yanga wamefanya kosa kubwa kwenye mkataba wao na SportPesa kuliko wengi tunavyodhani na madhara yake ni makubwa sana kwa mdhamini wao yaani SportPesa. Yaani mimi ningekuwa mshabiki wa Yanga ningemtafuta huyu aliyetoa wazo hili maana ni msaliti mkubwa sana atakayeenda kuiharibia timu si tu kibiashara na kifedha lakini pia focus kwenye mechi zinazofuata.

Athari ya walichofanya Yanga ni kubwa kwa sababu hata ikitokea leo Yanga wakaghairi kutovaa jezi hizi mpya katika mechi zao za CAF Shirikisho, jezi hizi tayari zipo mtaani na watu wanazivaa zaidi ya zile za zamani kwa wale waliokuwa na uwezo wa kuzinunua.

Hawa SportPesa wakikomaa wakasema wamesamehe hawataidai fidia au kuvunja mkataba, watakachotaka kufanya the least ni kuitaka Yanga kuzinunua jezi zote walizouza ili kuziondoa mitaani. Na tunajua wakisema wazinunue kwa bei ile ile waliyouzia mwanzo, wachache sana watarudisha.

Hivyo Yanga itabidi waweke bei kuanzia 80,000/= kwa kila jezi ndiyo labla itawashawishi watu kuzirudisha.

Mgogoro mkubwa unanukia Yanga.
hakuna mgogoro,jezi tutavaa na kwanza zimeisha

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Yanga wamefanya kosa kubwa kwenye mkataba wao na SportPesa kuliko wengi tunavyodhani na madhara yake ni makubwa sana kwa mdhamini wao yaani SportPesa. Yaani mimi ningekuwa mshabiki wa Yanga ningemtafuta huyu aliyetoa wazo hili maana ni msaliti mkubwa sana atakayeenda kuiharibia timu si tu kibiashara na kifedha lakini pia focus kwenye mechi zinazofuata.

Athari ya walichofanya Yanga ni kubwa kwa sababu hata ikitokea leo Yanga wakaghairi kutovaa jezi hizi mpya katika mechi zao za CAF Shirikisho, jezi hizi tayari zipo mtaani na watu wanazivaa zaidi ya zile za zamani kwa wale waliokuwa na uwezo wa kuzinunua.

Hawa SportPesa wakikomaa wakasema wamesamehe hawataidai fidia au kuvunja mkataba, watakachotaka kufanya the least ni kuitaka Yanga kuzinunua jezi zote walizouza ili kuziondoa mitaani. Na tunajua wakisema wazinunue kwa bei ile ile waliyouzia mwanzo, wachache sana watarudisha.

Hivyo Yanga itabidi waweke bei kuanzia 80,000/= kwa kila jezi ndiyo labla itawashawishi watu kuzirudisha.

Mgogoro mkubwa unanukia Yanga.
Huwa inafikiri kwa kutumia kiungo gani?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kwa tamko walilotoa Yanga sioni kosa lolote kwa upande wao.
 
Huu unaweza kuwa mkakati kabambe,Sportpesa kawalipa Yanga kutanganzwa,baada ya Yanga kuingia mkataba na HAIER,sasa ndio sportpesa anatangazwa kwa nguvu kubwa kuliko awali kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. HAIER nae anajulikana kwa kasi kupitia promo hizo.Unaweza kuwa mkakati kabambe huu hakuna ugomvi wala nini hapo.
 
Huu unaweza kuwa mkakati kabambe,Sportpesa kawalipa Yanga kutanganzwa,baada ya Yanga kuingia mkataba na HAIER,sasa ndio sportpesa anatangazwa kwa nguvu kubwa kuliko awali kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. HAIER nae anajulikana kwa kasi kupitia promo hizo.Unaweza kuwa mkakati kabambe huu hakuna ugomvi wala nini hapo.
Ndo maana redio kama U FM hawaluongelei kabisa wao wanaongelewa ya uwanjani tu.

Sasa wale wa EFM wao wamelifanya mjadala siku 2 mfululizo bila kujua wanampa air time SP.
 
Yanga wamefanya kosa kubwa kwenye mkataba wao na SportPesa kuliko wengi tunavyodhani na madhara yake ni makubwa sana kwa mdhamini wao yaani SportPesa. Yaani mimi ningekuwa mshabiki wa Yanga ningemtafuta huyu aliyetoa wazo hili maana ni msaliti mkubwa sana atakayeenda kuiharibia timu si tu kibiashara na kifedha lakini pia focus kwenye mechi zinazofuata.

Athari ya walichofanya Yanga ni kubwa kwa sababu hata ikitokea leo Yanga wakaghairi kutovaa jezi hizi mpya katika mechi zao za CAF Shirikisho, jezi hizi tayari zipo mtaani na watu wanazivaa zaidi ya zile za zamani kwa wale waliokuwa na uwezo wa kuzinunua.

Hawa SportPesa wakikomaa wakasema wamesamehe hawataidai fidia au kuvunja mkataba, watakachotaka kufanya the least ni kuitaka Yanga kuzinunua jezi zote walizouza ili kuziondoa mitaani. Na tunajua wakisema wazinunue kwa bei ile ile waliyouzia mwanzo, wachache sana watarudisha.

Hivyo Yanga itabidi waweke bei kuanzia 80,000/= kwa kila jezi ndiyo labla itawashawishi watu kuzirudisha.

Mgogoro mkubwa unanukia Yanga.
Mnahangaika bure,bosi wa sportpesa yuko na utopolo na hata uto wakipelekwa mahakamani,atakuja kuharibu kesi kwa kukiri yanga walipewa go ahead.

Wapumbavu hapa ni sportpesa kuajiri mtu mhuni shabiki wa uto.

Kifupi sport pesa hawana ujanja ndio maana uto wanakiburi.Sportpesa ndio imekula kwao

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Yanga wamefanya kosa kubwa kwenye mkataba wao na SportPesa kuliko wengi tunavyodhani na madhara yake ni makubwa sana kwa mdhamini wao yaani SportPesa. Yaani mimi ningekuwa mshabiki wa Yanga ningemtafuta huyu aliyetoa wazo hili maana ni msaliti mkubwa sana atakayeenda kuiharibia timu si tu kibiashara na kifedha lakini pia focus kwenye mechi zinazofuata.

Athari ya walichofanya Yanga ni kubwa kwa sababu hata ikitokea leo Yanga wakaghairi kutovaa jezi hizi mpya katika mechi zao za CAF Shirikisho, jezi hizi tayari zipo mtaani na watu wanazivaa zaidi ya zile za zamani kwa wale waliokuwa na uwezo wa kuzinunua.

Hawa SportPesa wakikomaa wakasema wamesamehe hawataidai fidia au kuvunja mkataba, watakachotaka kufanya the least ni kuitaka Yanga kuzinunua jezi zote walizouza ili kuziondoa mitaani. Na tunajua wakisema wazinunue kwa bei ile ile waliyouzia mwanzo, wachache sana watarudisha.

Hivyo Yanga itabidi waweke bei kuanzia 80,000/= kwa kila jezi ndiyo labla itawashawishi watu kuzirudisha.

Mgogoro mkubwa unanukia Yanga.
Huelewi hata unachoandika mwenyewe
 
Back
Top Bottom