Yanga jifunzeni Kwa meli ya Titanic. Mungu huchukia maapizo.

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wakati meli ya Titanic inazinduliwa, walioijenga walisema kuwa ile meli haitazama Kamwe (unsinkable)

Historia inaonesha kila aliyepanda ile meli alikuwa na Imani nayo kubwa Sana kuwa haitazama. Lakini mwisho wa siku ilizama na kuua watu kadhaa.

Yanga nao mpaka wakatuga na wimbo kabisa kuwa haiwezekani kufungwa. Mungu ndiye mgawa riziki huchukia Sana wanaojiapiza.
 
Mungu anachukia ๐Ÿคฃ
Kwahiyo Mungu anakasilika!
Kweli hapo mwanzo Mtu aliumba Mungu kwa mfano wake
 
Mbona Kuna sehem ingine unasema mtu ajionavyo nafsin ndivyo alivyo?
 
Your browser is not able to display this video.
 
Yanga kaliwa

Yanga kapakatwa

Yanga kapakwa mafuta

Yanga kakaangwa

Yanga kakanyagwa

Chikooooooooooooooooolaaaaaa..!!
 
Yanga kaliwa

Yanga kapakatwa

Yanga kapakwa mafuta

Yanga kakaangwa

Yanga kakanyagwa

Chikooooooooooooooooolaaaaaa..!!
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ