NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Napinga ilo swala kwa nguvu zote. Kitu chochote ambacho Wanasiasa wanaweka mkono, lazima kiende ovyo hata kama kilikuwa vizuri.Waziri wa michezo na naibu waziri tunatambua na tunaona kazi zenu katika tasnia ya utamaduni Sanaa na michezo hakika mashabiki hatuna Cha kuwadai kwani mh. Raisi Dr Samia suluhu hassan hakukosea kuwateua/kuwapa nyadhifa hizo hakika mnastahili pongezi.
NALIA NGWENA kupitia mtandao pendwa JF nikuombe waziri wa michezo ratibu muda Timu ya Yanga ikutane na Mama ikulu walau washikwe hata mkono na mama, maana mkono /maneno ya mama ni baraka kubwa sana kwa mtoto hakika itawapa Yanga molali kubwa katika kulipambania Taifa.
Ni matumaini yangu maoni yangu yatafanyiwa kazi.
Wako JF expert member NALIA NGWENA
Mbona umeongea kwa hisia sana mkuu?Nonsense, acheni kuchanganya michezo na siasa huyo rais ushughulikie ilani yao ya uchaguzi, uchumi uko matopeni na zaidi ya asilimia 65 ya watanzania sasa wanaishi chini ya dola moja kwa siku.
Asikwepe majukumu yake kwa kujificha nyuma ya mpira.
Vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi mkuu?uko sahihi mkuu ..........yanga wamepiga kazi nzito ambayo haitakuja kufikiwa abadani
Hata wakipanda daraja lakini tambua kuwa Yanga ipo fainali Tena fainali ambayo makolo wizard ni ngumu sana kufika.Vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi mkuu?
Marumo wameshuka daraja huko[emoji1787]
Ongea kila Aina ya fumbo lakini yanga is the best team than makolo wizard.Homa zingine hazitibiki kwa alovera.