Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Alikuwa anaitwa Aziz Ki ila amechuja anaitwa domo. Hizo ndizo fadhila za mashabiki.Nyeto na domo kubwa watakuwa wanagombaniana mobeto
Faisal alifanya vizuri kwenda Azam maana naye kwenye matukano angekuwepo