Tetesi: Yanga kabla ya mechi ya leo juzi walichapana makonde Mwamnyeto na Aziz Ki wakati wa kikao cha kocha mpya!

Tetesi: Yanga kabla ya mechi ya leo juzi walichapana makonde Mwamnyeto na Aziz Ki wakati wa kikao cha kocha mpya!

Ule utovu wa nidhamu umeendelea kutamalaq kupelekea wachezaji waaandamizi Aziz Ki na Mwamnyeto kuchapana makonde mbele ya kocha mpya, inasemekana Mwamnyeto anamtuhumu Aziz Ki kupeleka majungu kwa viongozi na kocha mpya kuhusu baadhi ya wachezaji kuwa hawafai kupata namba.

Hizo habari tulishindwa kuzitoa tangu asubuhi tulijua zinaweza kuwachangaya wana yanga!
Majungu fc
 
Za Ulaya ndio sizielewagi kabisa.
Yaani huko naambulia patupu😅😅
Kama ulivyoanza kuwazimia wananchi na liverpool taratibu utazowea ni chama bora la watu waungwana hata tufungwe mia tunafarijiana slowgan yetu inaitwa you will never walk alone!
 
Kama ulivyoanza kuwazimia wananchi na liverpool taratibu utazowea ni chama bora la watu waungwana hata tufungwe mia tunafarijiana slowgan yetu inaitwa you will never walk alone!
:ChikaWhirl: :ChikaWhirl: :ChikaWhirl:Waooooo!!!!!
"You will never walk alone".....safi sana hii.
Sema nikianza kupenda mechi za nje, nitaingia kwenye uraibu wa kubeti
 
Ule utovu wa nidhamu umeendelea kutamalaq kupelekea wachezaji waaandamizi Aziz Ki na Mwamnyeto kuchapana makonde mbele ya kocha mpya, inasemekana Mwamnyeto anamtuhumu Aziz Ki kupeleka majungu kwa viongozi na kocha mpya kuhusu baadhi ya wachezaji kuwa hawafai kupata namba.

Hizo habari tulishindwa kuzitoa tangu asubuhi tulijua zinaweza kuwachangaya wana yanga!
Tutajuwa tu kwanini wanataka kuturudisha kulee tulipokuwa tumepasahau au wametumwa hawa we azizi una nini au ndiyo raha imenoga.
 
Hizo tuhuma zinaweza kuwa na ukweli maana Kwa siku za hivi karibuni Ki ameonekana kuwa kimbelembele zaidi ya kocha msaidizi Timu inapokuwa uwanjani na yeye akiwa benchi
 
:ChikaWhirl: :ChikaWhirl: :ChikaWhirl:Waooooo!!!!!
"You will never walk alone".....safi sana hii.
Sema nikianza kupenda mechi za nje, nitaingia kwenye uraibu wa kubeti
Mungu akujalie usitumbukie huko kwenye uraibu, anza kupitia thread ya liverpool ujifunze mengi kupitia hapo utawakuta wadada wastaarabu pia wapo huko!
 
Hizo tuhuma zinaweza kuwa na ukweli maana Kwa siku za hivi karibuni Ki ameonekana kuwa kimbelembele zaidi ya kocha msaidizi Timu inapokuwa uwanjani na yeye akiwa benchi
Kuna hatari kitambaa cha unahodha kwa mwamnyeto kikaota mbawa!
 
Ule utovu wa nidhamu umeendelea kutamalaq kupelekea wachezaji waaandamizi Aziz Ki na Mwamnyeto kuchapana makonde mbele ya kocha mpya, inasemekana Mwamnyeto anamtuhumu Aziz Ki kupeleka majungu kwa viongozi na kocha mpya kuhusu baadhi ya wachezaji kuwa hawafai kupata namba.

Hizo habari tulishindwa kuzitoa tangu asubuhi tulijua zinaweza kuwachangaya wana yanga!
Bado hamjasema
 
Back
Top Bottom