Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Inasikitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sjui kilichombakisha kwenye hio timu ya hovyo ni kitu gani, ila wamemfanyia vibaya sana hadi kumtumia hamisa amrubuni ..dah ase..wanawake ni noma..yan mtu anaaacha MABILIONI anabaki kisa hamisa [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Ila aziz ni mseng*, mwishoni mwa msimu Jana alikuwa apige hela ndefu za usajili kwenye vilabu vilivyokuwa vinamhitaji.
Sasa kawa Kiazi Hadi kwenye jezi wanamuandika KIAZIZ
Aibu Gani Mkuu ,? Mbona Hayo Ya Kawaida Sana Uliamini HaitafungwaIla timu yangu imejua kunitia aibu leo.
Ila yote kheri tu!!!
Siwezi kuilaumu.
Ndio, tuliamini katika kushinda ☹️☹️☹️Aibu Gani Mkuu ,? Mbona Hayo Ya Kawaida Sana Uliamini Haitafungwa
Sasa Yale Matokeo Umeyakataa Ama TusemejeNdio, tuliamini katika kushinda ☹️☹️☹️
Siku hizi si Anajiita KIAZIZUle utovu wa nidhamu umeendelea kutamalaq kupelekea wachezaji waaandamizi Aziz Ki na Mwamnyeto kuchapana makonde mbele ya kocha mpya, inasemekana Mwamnyeto anamtuhumu Aziz Ki kupeleka majungu kwa viongozi na kocha mpya kuhusu baadhi ya wachezaji kuwa hawafai kupata namba.
Hizo habari tulishindwa kuzitoa tangu asubuhi tulijua zinaweza kuwachangaya wana yanga!
KaribuSawa 🤝
Yeye huyo!Siku hizi si Anajiita KIAZIZ
😃😃Naona hii ndo gusa achia...
BunjuUNamuonea mwamstabation hata kingereza hakijui View attachment 3162445
Asante mkuuKaribu
Nitakataaje wakati kila kitu kiko wazi bob?Sasa Yale Matokeo Umeyakataa Ama Tusemeje
