Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Alikuwa anaitwa Aziz Ki ila amechuja anaitwa domo. Hizo ndizo fadhila za mashabiki.Nyeto na domo kubwa watakuwa wanagombaniana mobeto
Majungu fcUle utovu wa nidhamu umeendelea kutamalaq kupelekea wachezaji waaandamizi Aziz Ki na Mwamnyeto kuchapana makonde mbele ya kocha mpya, inasemekana Mwamnyeto anamtuhumu Aziz Ki kupeleka majungu kwa viongozi na kocha mpya kuhusu baadhi ya wachezaji kuwa hawafai kupata namba.
Hizo habari tulishindwa kuzitoa tangu asubuhi tulijua zinaweza kuwachangaya wana yanga!
Kabisa mkuuAlikuwa anaitwa Aziz Ki ila amechuja anaitwa domo. Hizo ndizo fadhila za mashabiki.
Faisal alifanya vizuri kwenda Azam maana naye kwenye matukano angekuwepo
Ndilo wanalostahili nalo kuitwa!Majungu fc
Mwamnyeto Mpaka unahodha wenyewe kaweka rehani!Unahisi kati ya hao mabondia nani aliibuka mshindi
Za Ulaya ndio sizielewagi kabisa.Karibu sana tupo pamoja ulaya njoo liverpool unenepe!
Kama ulivyoanza kuwazimia wananchi na liverpool taratibu utazowea ni chama bora la watu waungwana hata tufungwe mia tunafarijiana slowgan yetu inaitwa you will never walk alone!Za Ulaya ndio sizielewagi kabisa.
Yaani huko naambulia patupuπ π
Kama ulivyoanza kuwazimia wananchi na liverpool taratibu utazowea ni chama bora la watu waungwana hata tufungwe mia tunafarijiana slowgan yetu inaitwa you will never walk alone!
Tutajuwa tu kwanini wanataka kuturudisha kulee tulipokuwa tumepasahau au wametumwa hawa we azizi una nini au ndiyo raha imenoga.Ule utovu wa nidhamu umeendelea kutamalaq kupelekea wachezaji waaandamizi Aziz Ki na Mwamnyeto kuchapana makonde mbele ya kocha mpya, inasemekana Mwamnyeto anamtuhumu Aziz Ki kupeleka majungu kwa viongozi na kocha mpya kuhusu baadhi ya wachezaji kuwa hawafai kupata namba.
Hizo habari tulishindwa kuzitoa tangu asubuhi tulijua zinaweza kuwachangaya wana yanga!
Mungu akujalie usitumbukie huko kwenye uraibu, anza kupitia thread ya liverpool ujifunze mengi kupitia hapo utawakuta wadada wastaarabu pia wapo huko!Waooooo!!!!!
"You will never walk alone".....safi sana hii.
Sema nikianza kupenda mechi za nje, nitaingia kwenye uraibu wa kubeti
Kuna hatari kitambaa cha unahodha kwa mwamnyeto kikaota mbawa!Hizo tuhuma zinaweza kuwa na ukweli maana Kwa siku za hivi karibuni Ki ameonekana kuwa kimbelembele zaidi ya kocha msaidizi Timu inapokuwa uwanjani na yeye akiwa benchi
Kaz kwl kwlMwamnyeto Mpaka unahodha wenyewe kaweka rehani!
Hilo sikusikia labda la kibwana kuiba soksi za yao kwasi!Bila kusahau πππ kati ya Azizi Ki na Kibwana Shomari.
Zilipigwa hatari π€£π€£π€£
Sawa mpwa.Mungu akujalie usitumbukie huko kwenye uraibu, anza kupitia thread ya liverpool ujifunze mengi kupitia hapo utawakuta wadada wastaarabu pia wapo huko!
Karibu sana wala hutajuta!Sawa mpwa.
Ngoja nijongee kwenye huo uzi.
πππππ
Sawa π€Karibu sana wala hutajuta!
Bado hamjasemaUle utovu wa nidhamu umeendelea kutamalaq kupelekea wachezaji waaandamizi Aziz Ki na Mwamnyeto kuchapana makonde mbele ya kocha mpya, inasemekana Mwamnyeto anamtuhumu Aziz Ki kupeleka majungu kwa viongozi na kocha mpya kuhusu baadhi ya wachezaji kuwa hawafai kupata namba.
Hizo habari tulishindwa kuzitoa tangu asubuhi tulijua zinaweza kuwachangaya wana yanga!