Yanga kadaini fedha zenu kwa Mganga aliyewaaminisha Dube atafunga game ya jana

Yanga kadaini fedha zenu kwa Mganga aliyewaaminisha Dube atafunga game ya jana

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Ali kamwe alisema wameaminishwa kuwa Dube alikuwa hafungi kwa kuwa alikuwa amefungwa kwa nguvu za giza na timu fulani ila mganga mpya waliyempata amewahakikishia leo(jana) rasmi ataanza kufunga na wanamkabidhi mechi na ukisikia kukabidhiwa mechi ni zile takataka zote za kichawi hukabidhiwa mchezaji husika ndio maana Dube alionekana kuzidiwa uzito na kuishia kuanguka peke yake uwanjani bila kuguswa.

Hivyo niwashauri yanga najua privaldinho,Hersi na ali kamwe wanapitia hapa hata mwigulu nchemba wa singida timu ndugu wa yanga waende wakadai pesa zao kwa mganga si kwa dube yule tuliyemuona!
 
Ali kamwe alisema wameaminishwa kuwa Dube alikuwa hafungi kwa kuwa alikuwa amefungwa kwa nguvu za giza na timu fulani ila mganga mpya waliyempata amewahakikishia leo(jana)rasmi ataanza kufunga na wanamkabidhi mechi na ukisikia kukabidhiwa mechi ni zile takataka zote za kichawi hukabidhiwa mchezaji husika ndio maana dube alionekana kuzidiwa uzito na kuishia kuanguka peke yake uwanjani bila kuguswa.
Hivyo niwashauri yanga najua privaldinho,Hersi na ali kamwe wanapitia hapa hata mwigulu nchemba wa singida timu ndugu wa yanga waende wakadai pesa zao kwa mganga si kwa dube yule tuliyemuona!
Dube hamna kitu pale mimi napendekeze kusiwe na siku ya mchechezaji ni upuzi na ubunifu wa kitoto kwakifupi yanga kwa sasa ni timu mbovu sana
 
Yanga wana utoto mwingi Sana ukiangalia mambo yao mpaka unajiuliza kweli wana ubongo hawa jamaa.
 
Back
Top Bottom