Yanga kesho kufanya balaa kukabidhiwa kombe lao la 3 la NBCPL

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Klabu ya Yanga sc kesho ya mei 25 2024 watakabidhiwa kombe lao la Ligi kuu ya NBCPL ikiwa ni mara ya 3 mfululizo na timu pekee ambayo imelibeba kombe hilo tangu bank ya NBC kuwa wa dhamini wa Ligi kuu ya Tanzania.
Kombe hilo linatalajiwa kushuka na helikopta kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa
Katika siku hiyo Yanga watacheza na Tabora United baada ya hapo watapewa kombe lao na sherehe zitaendelea
vipi Mwananchi au mshabiki utaenda kesho kwa Mkapa kushuhudia historia kubwa kama hii?
 
Cha kufurahisha ni kwamba kuna timu full of mbumbumbuz ama vichwa vigumu(kwa mujibu wa kocha anae muuguza mkewe)

Wapo kwenye kisanga cha kugombania nafasi ya pili na AZAMfc
 
Hivi viongozi wanajua kuwa hadi Sasa watu hawajui wanapata vipi na wapi tiketi
Matangazo mengi hupelekwa insta na Twitter ila huku mtaani hayafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…