OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naamini furaha yao itakuwa may mwaka huuYanga wameshinda lakini hawana furaha. 🤣🤣🤣🤣
Bora Yanga kashinda goli moja, Nyau walipigwa na Green city pamoja na Green worriors! Bora! Ni kweli hakuna timu ndogo ktk soka!hakuna cha kuumana ni kuingia na matokeo yao kwani keni gold sio timu hadi uipige 8 huko epl man u kapigwa na timu ya mwisho kwenye ligi nyau alitolewaga na timu ya jeshi daraja kwa kwanza mwaka juzi (nimewasahau jina )
nafikiri ni uchanga wa kujua mpira na kuingia na matokeo yao mkononi kwamba ukamfunge ken gold 10 kwani hao wa yanga mpira wanapiga kwa kutumia ulimi,ama mikono wote wanatumia miguu ni kawaida.
Ya kale hayanuki,tunaongelea mashindano yanayoendelea sasa wewe KidimbwiBora Yanga kashinda goli moja, Nyau walipigwa na Green city pamoja na Green worriors! Bora! Ni kweli hakuna timu ndogo ktk soka!
Mpira ume igiliwa na wapuuzi kulalamika tu kila kitu wakati hata maisha yao wame fail, ile game Ilikua ya knock out hai hitaji mambo mengi lkn mijitu bado ina lalama, ingekuaje wangefungwa?hakuna cha kuumana ni kuingia na matokeo yao kwani keni gold sio timu hadi uipige 8 huko epl man u kapigwa na timu ya mwisho kwenye ligi nyau alitolewaga na timu ya jeshi daraja kwa kwanza mwaka juzi (nimewasahau jina )
nafikiri ni uchanga wa kujua mpira na kuingia na matokeo yao mkononi kwamba ukamfunge ken gold 10 kwani hao wa yanga mpira wanapiga kwa kutumia ulimi,ama mikono wote wanatumia miguu ni kawaida.
umesha sema ni knock out ikiwa wangefungwa bas ndo kwisha habari yao simba alitolewa na gree worious ni soko mkuu.Mpira ume igiliwa na wapuuzi kulalamika tu kila kitu wakati hata maisha yao wame fail, ile game Ilikua ya knock out hai hitaji mambo mengi lkn mijitu bado ina lalama, ingekuaje wangefungwa?
Hawakufungwa wana lalamika nini,?umesha sema ni knock out ikiwa wangefungwa bas ndo kwisha habari yao simba alitolewa na gree worious ni soko mkuu.
sema wachezaji wa yanga wanazingua sana.
Bora Yanga kashinda goli moja, Nyau walipigwa na Green city pamoja na Green worriors! Bora! Ni kweli hakuna timu ndogo ktk soka!