Yanga kuandaa sherehe ya kuwacheka watani (Simba ) ni ukosefu wa kazi, wanayanga puuzeni Hilo Jambo lisilo na mantiki

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Sijawahi kuona Barcelona au Real Madrid ama derby ya za England wakifanya upuuzi Kama huo.

Ally kamwe na kikundi chako mlichodhamiria kukifanya hakika ni ujuha/ umbumbumbu hii haina tofauti na unbiten mwaisho wa siku wachezaji wakapumbazika wakapikwa na timu iliyokua inashika mkia kwenye msimamo wa ligi (ihefu).

Kwa Nini isifanyike hiyo party baada ya kuchukua kombe la shirikisho au baada ya kutolewa??

NALIA NGWENA ( shabiki yanga lialia) siungi napinga wazo la kufanya party ya kumcheka mtani.

Nawasilisha.
 
Dogo ni limbukeni...hukuti mambo hayo nchi nyingine.
Hata Yanga wenyewe wanamkosoa....

Amejiharibia image yake....
Hizo nchi nyingine unakuta maneno ya kombe la looser?Watu kuingia na jeneza uwanjani?watu kuitwa Maiti?
Tulieni hamwelewi hata maana ya hiyo event,bahati mbaya sana hamna Timu imetajwa jina kwenda kuchekwa
 
Halafu watu ndio wanakuambia eti mashabiki wa yanga wako humble sana hawana vurugu mashabiki wa simba ndio wakorofi na wana misifa
 
Waacheni watu wapate kuuza bidhaa,watu wapate hela kupitia mawazo kama ya Kijana msemaji..
Vinywaji vitauzika na mengine mengi yatafanyika siku hiyo.

Hizo ni fursa kubwa sana.Mambo ni mengi kwa sasa muda mchache.

Arsenal tulisheherekea ubingwa Match ya 10 tu.
Muda huu ukiona match tu nywele zinasimama..
 
Kama wakiwa na akili .Sasa hizo akili zenyewe ziko wapi? Waache wachekekeshe

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
mambo ya ajabu sana,wanaacha kuweka akili yao kwenye michezo ijayo wanahangaika kuwacheka
Umejuaje hawajaweka akili huko,,, labda haya pia ni makelele ya kuwatoa baadhi ya watu kwenye reli
 
Kwani lini UTOPOLO WALIKUWA NA AKILI?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…