Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Huyo dogo huu usemaji wake aisee, anacomplicate sana mambo sijui kwanini. Ni kama anakosa weledi hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwanini viongozi wamelibariki hiliMe shabiki wa Yanga Ila sujapendezwa na hii kampeni
Timu ina majukumu mengi
Ni upumbavu mtupu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Anatufedhehesha sana mashabiki.Huyo dogo huu usemaji wake aisee, anacomplicate sana mambo sijui kwanini. Ni kama anakosa weledi hivi
Anatufedhehesha sana mashabikiHuu ni upuuzi Sana mwenyewe nilishtuka sana nilipoisoma Ile habari
Dah.. furaha yangu yote ya wiki hii ni kama imekata
[emoji172][emoji169]🥲
Mimi mwenyewe nimshangaa sana aiseSijui kwanini viongozi wamelibariki hili
Hakuna kitu hapo aise [emoji41]Waacheni watu wapate kuuza bidhaa,watu wapate hela kupitia mawazo kama ya Kijana msemaji..
Vinywaji vitauzika na mengine mengi yatafanyika siku hiyo.
Hizo ni fursa kubwa sana.Mambo ni mengi kwa sasa muda mchache.
Arsenal tulisheherekea ubingwa Match ya 10 tu.
Muda huu ukiona match tu nywele zinasimama..
Sijui ni utoto aisee ana mambo ya kiwaki huyi dogo
Kweli kabisa yaanSijui ni utoto aisee ana mambo ya kiwaki huyi dogo
Amezaliwa 1974 kipindi simba wanacheza nusu fainali ya kwanza ya KLABU BINGWA AFRIKA sasa ana utoto gani?????Sijui ni utoto aisee ana mambo ya kiwaki huyi dogo
Watu wengi hupenda hakuna kitu Mkuu..
Aaah oya we jamaa kazaliwa 74 yule?? Acha kamba kakaAmezaliwa 1974 kipindi simba wanacheza nusu fainali ya kwanza ya KLABU BINGWA AFRIKA sasa ana utoto gani?????
Sema jamaa alizaliwa NJITI kwahiyo dishi kidogo limeyumba
Ndiyo maana Haji anawachana live kuwa hawana akili,huyu dogo anaichafua brand ya Yanga kwa upuuuzi kama huuSijawahi kuona Barcelona au Real Madrid ama derby ya za England wakifanya upuuzi Kama huo.
Ally kamwe na kikundi chako mlichodhamiria kukifanya hakika ni ujuha/ umbumbumbu hii haina tofauti na unbiten mwaisho wa siku wachezaji wakapumbazika wakapikwa na timu iliyokua inashika mkia kwenye msimamo wa ligi (ihefu).
Kwa Nini isifanyike hiyo party baada ya kuchukua kombe la shirikisho au baada ya kutolewa??
NALIA NGWENA ( shabiki yanga lialia) siungi napinga wazo la kufanya party ya kumcheka mtani.
Nawasilisha.
Naunga mkono tukio hilo lifanyike tukacheke tuongezee miaka ya kuishi. Bravo Ally Kamwe ni mbunifu. Labda waelimishe watu lengo na madhumuni wa hilo jambo maana uwezo wa kufikiri hutofautianaSijawahi kuona Barcelona au Real Madrid ama derby ya za England wakifanya upuuzi Kama huo.
Ally kamwe na kikundi chako mlichodhamiria kukifanya hakika ni ujuha/ umbumbumbu hii haina tofauti na unbiten mwaisho wa siku wachezaji wakapumbazika wakapikwa na timu iliyokua inashika mkia kwenye msimamo wa ligi (ihefu).
Kwa Nini isifanyike hiyo party baada ya kuchukua kombe la shirikisho au baada ya kutolewa??
NALIA NGWENA ( shabiki yanga lialia) siungi napinga wazo la kufanya party ya kumcheka mtani.
Nawasilisha.
Kweli kabisa mkuuKama nchi tuna safari ndefu ila naona Kuna mabwege wanazidi kuongeza urefu wa safari