ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Mchezo huu utakuwa wa uzinduzi wa uwanja wa Jaramogi Oginga Odinga, ambao ulikuwa ulikuwa ukihairishwa mara kwa mara mara kutokana na Yanga Kuwa na mchezo minginya CAFCL
Mashabiki wa Kenya wameusubiria mchezo huu Kwa hamu, na uuzaji wa ticket tukianza uwanja utajaa siku hiyo
Yanga ndo timu Bora uwanda huu wa CECAFA na ina mashabiki wengi kutoka ukanda wetu
Inasemekana Yanga amelipwa kiasi cha Dollar 250,000 ili kukubali mwaliko huu
Mashabiki wa Kenya wameusubiria mchezo huu Kwa hamu, na uuzaji wa ticket tukianza uwanja utajaa siku hiyo
Yanga ndo timu Bora uwanda huu wa CECAFA na ina mashabiki wengi kutoka ukanda wetu
Inasemekana Yanga amelipwa kiasi cha Dollar 250,000 ili kukubali mwaliko huu