OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mambo ya Yanga yana kuhusu nini wewe binti?View attachment 2385518
Wakati Al Hilal ikichaka 4-0 kwenye ligi ya Sudane, Yanga wao watacheza na Green Worriors kujiandaa na mechi ya Champions dhidi ya timu ngumu ya Al Hilal. Green worriors ni ya 3 kutoka mwisho kati ya timu 16 za Ligi Daraja la Kwanza
Hpa ndipo tfff inapolemaza ligi ya ndani, Simba na yanga zilitakiwa zicheze hta mechi Moja Kabla ya mechi za kimataifa, lakin utaambiwa timu s au Y wameomba mechi Yao isogezwe kupisha maandaliz Kwa ajili ya mechi Fulani. Huu ni ujinga na uzwazwa tu. Ni kulemaza timu tu.View attachment 2385518
Wakati Al Hilal ikichaka 4-0 kwenye ligi ya Sudane, Yanga wao watacheza na Green Worriors kujiandaa na mechi ya Champions dhidi ya timu ngumu ya Al Hilal. Green worriors ni ya 3 kutoka mwisho kati ya timu 16 za Ligi Daraja la Kwanza
Sikubaliani na huu utaratibu wa kuahirisha mechi,unatengeneza viporo vya kijinga na timu inakosa game fitnessHpa ndipo tfff inapolemaza ligi ya ndani, Simba na yanga zilitakiwa zicheze hta mechi Moja Kabla ya mechi za kimataifa, lakin utaambiwa timu s au Y wameomba mechi Yao isogezwe kupisha maandaliz Kwa ajili ya mechi Fulani. Huu ni ujinga na uzwazwa tu. Ni kulemaza timu tu.
"Wakati Al Hilal ikichaka 4-0 kwenye ligi ya Sudane, Yanga......"View attachment 2385518
Wakati Al Hilal ikichaka 4-0 kwenye ligi ya Sudane, Yanga wao watacheza na Green Worriors kujiandaa na mechi ya Champions dhidi ya timu ngumu ya Al Hilal. Green worriors ni ya 3 kutoka mwisho kati ya timu 16 za Ligi Daraja la Kwanza
S na Y huwez kukwepa hapo mana timu hizi mbili ndio zinainua soka la bongo utake usitakeHpa ndipo tfff inapolemaza ligi ya ndani, Simba na yanga zilitakiwa zicheze hta mechi Moja Kabla ya mechi za kimataifa, lakin utaambiwa timu s au Y wameomba mechi Yao isogezwe kupisha maandaliz Kwa ajili ya mechi Fulani. Huu ni ujinga na uzwazwa tu. Ni kulemaza timu tu.
Ni sehemu ya mazoezi bi chaunabe nadhani Kuna kitu hakiko sawa kwako katika utambuzi wa mambo.View attachment 2385518
Wakati Al Hilal ikichaka 4-0 kwenye ligi ya Sudane, Yanga wao watacheza na Green Worriors kujiandaa na mechi ya Champions dhidi ya timu ngumu ya Al Hilal. Green worriors ni ya 3 kutoka mwisho kati ya timu 16 za Ligi Daraja la Kwanza
Acha kujishtukia, mimi sijachambua nimetoa taarifaNi sehemu ya mazoezi bi chaunabe nadhani Kuna kitu hakiko sawa kwako katika utambuzi wa mambo.
Kabisa unachosema mdau, nimeshangaa yani toka jumapili ya wiki iliopita hadi leo hizi timu zetu hazijacheza mechi yoyote ya ligi? Haiko sawa hata kidogoHpa ndipo tfff inapolemaza ligi ya ndani, Simba na yanga zilitakiwa zicheze hta mechi Moja Kabla ya mechi za kimataifa, lakin utaambiwa timu s au Y wameomba mechi Yao isogezwe kupisha maandaliz Kwa ajili ya mechi Fulani. Huu ni ujinga na uzwazwa tu. Ni kulemaza timu tu.
We unataka wacheze league ili lomalisa na kibu denis waumizwe wakati ni wachezaji tegemeziKabisa unachosema mdau, nimeshangaa yani toka jumapili ya wiki iliopita hadi leo hizi timu zetu hazijacheza mechi yoyote ya ligi? Haiko sawa hata kidogo
Mbona hata wewe huwa unakosea mara nyingi tu spelling.Hapa unaonekana umejawa na jazba mpaka ukaamua kutafuta vijimakosa vya spelling"Wakati Al Hilal ikichaka 4-0 kwenye ligi ya Sudane, Yanga......"
Hivi hata hueleweki eti!
Mwambie arekebishe sasa ili aeleweke. Halafu sina jazba ya aina yoyote ile. Nimemkumbusha tu.Mbona hata wewe huwa unakosea mara nyingi tu spelling.Hapa unaonekana umejawa na jazba mpaka ukaamua kutafuta vijimakosa vya spelling
Mkuu sisi sio Al Hilal waliokutendaMwambie arekebishe sasa ili aeleweke. Halafu sina jazba ya aina yoyote ile. Nimemkumbusha tu.