Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapima uelewa wa tactic wa wachezaji wake kupitia timu isiyo ngumuYanga anapenda kucheza na mitimu ya jeshi.... Tech n tactics Hy mitimu Haina
Utaelewaje na wewe umeshavurugwa?"Wakati Al Hilal ikichaka 4-0 kwenye ligi ya Sudane, Yanga......"
Hivi hata hueleweki eti!
Hakuna cha kuvurugwa, wala nini. Kukosea spelling ni jambo la kawaida. Mumshauri arekebishe maandishi yake.Utaelewaje na wewe umeshavurugwa?
Acheni mambo yenu naona sasa yanga mnategemea kufuzu kwa kutumia macho na matumaini kila siku wenzenu wanacheza na team za kujipima nguvu sawa nyinnyi mnang'a g'ania kucheza na useless teams kwa neno la kujiweka fit na sio competition, mkipigwa mnalalamikaNaitakia ushindi Yanga, naamini bado ana nafasi ya kuingia hatua ya makundi.
Zinaua sio zinainua JoS na Y huwez kukwepa hapo mana timu hizi mbili ndio zinainua soka la bongo utake usitake
VIPERS wakipangiwa hivyo hakuna sababu yoyote itakayofanya washindwe kuingia makundi.YANGA MKIJA SHIRIKISHO MNAKUTANA NA VIPERS [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] HII TIMU INA MIKOSI [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Nimesema utambuzi na sio uchambuzi. Mchambuzi ukawa wewe?Acha kujishtukia, mimi sijachambua nimetoa taarifa
...dhidi ya Green WarriersNaitakia ushindi Yanga, ...
Vyovyote vile...dhidi ya Green Warriers
Umevurugwa mbaya uncle wanguHakuna cha kuvurugwa, wala nini. Kukosea spelling ni jambo la kawaida. Mumshauri arekebishe maandishi yake.