Yanga kucheza na Green Worriors kujiandaa na Al Hilal

Yanga kucheza na Green Worriors kujiandaa na Al Hilal

Hawa ndo waziri wa wizara husika anataka wabebwe na tff kimataifa,tff wanabebaje mandondocha wa kutia aibu nchi!
 
Naitakia ushindi Yanga, naamini bado ana nafasi ya kuingia hatua ya makundi.
Acheni mambo yenu naona sasa yanga mnategemea kufuzu kwa kutumia macho na matumaini kila siku wenzenu wanacheza na team za kujipima nguvu sawa nyinnyi mnang'a g'ania kucheza na useless teams kwa neno la kujiweka fit na sio competition, mkipigwa mnalalamika
 
YANGA MKIJA SHIRIKISHO MNAKUTANA NA VIPERS [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] HII TIMU INA MIKOSI [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
VIPERS wakipangiwa hivyo hakuna sababu yoyote itakayofanya washindwe kuingia makundi.
 
Yanga 1 green worrier 2
Wanachiiiiiiiiiiì
 
Back
Top Bottom