Yanga kucheza na Kaizer chiefs 22 July

Yanga hawawezi kuwa na siku yao siku 10 kutoka sasa labda walazimishe tu na sidhani kama watataka tena wacheze na timu itakayowafunga kwenye siku yao. Nadhani wale Big Bullets ndiyo watakuja maana inawezekana hata mama yao atawalipia gharama zao za kuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…