Yanga kucheza na timu ya taifa ya Somalia

Yanga kucheza na timu ya taifa ya Somalia

Sisi ni next level, mnatuhitaji sisi ili mjulikane kimataifa

We dont need you but you need us

Huko ulaya wanajua east africa kuna timu moja ya mpira, the rest ni vikundi vya wahuni tu
Kolo, ulaya ya wapi?
 
Somalia wako vitani full time mda wa kicheza hawana
 
Sijawahi skia Mechi ya Kirafiki ya Timu ya Taifa Vs Klabu. Kumbe labda mimi bado mchanga kwenye soka, eti Chelsea dhidi ya Timu ya Taifa la Poland😂😂😂
 
Sijawahi skia Mechi ya Kirafiki ya Timu ya Taifa Vs Klabu. Kumbe labda mimi bado mchanga kwenye soka, eti Chelsea dhidi ya Timu ya Taifa la Poland[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu , historia inatafutwa kwa nguvu kwamba tuliwahi kuifunga timu ya taifa ya somalia 10 bila majibu
 
Back
Top Bottom