YANGA: Kuelekea mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji

YANGA: Kuelekea mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji

Hata mimi nakitaka hicho kitabu ili nipate elimu ya uwekezaji ni nini pengine na mimi naweza nikaja kuwa na hisa ndani ya hizo 51 za wanachama.Nyie watu wa simba endeleni kupinga tu wakati hamjui hili wala lie juu ya uwekezaji na hamjui mchakato mzima una face ngapi
Viongozi wa yanga wanacheza mchezo mzuri sana, just ku buy time kutuliza na kufariji mashabiki hakuna jipya hapo hiyo story yao ya kitabu itaenda mwaka mmoja baada ya hapo watakuja na kingine mpaka wamalize muda wao wasepe, na stori itabaki hiyohiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye picha naona wachezaji wa Yanga ila background kuna Simba.

Daima mbele nyuma kuna mwiko[emoji1787]

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Hilo picha la mauaji ya tarehe 8 Machi 2020.
Picha imewekwa makusudi kukumbushia tarehe 8,yaani wananchi tukiingia kwenye mabadiliko picha kama hizo zitakuwa nyingi,ipo siku mtavaa mijezi yenu huku mnashangilia timu ya wananchi kwa kandanda safi itakayokuwa inapigwa.
Asante GSM bila wewe mikia wangeendelea kutunyanyasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya kitu ambacho wapenzi wa Simba hawataki kikisikia ni Yanga kubadili mfumo.
Maana wanajua zile zama za Yanga kuchukua kombe mfululizo zinarudi, Yanga ile ya kuchukua kombe mfululizo inarejea.
Yanga iliyokuwa inampiga Simba inavyotaka, Yanga ya kampa kampa tena,na naomba kombe la Azam tukutane na mikia tumpige tena kidude.
Wananchi tukae mkao wa kula, kuanzia msimu ujao ni kunenepa tu, dalili njema huonekana asubuhi tumuunge mkono Msola tumuunge mkono GSM, safari hii lazima kieleweke.
Kitu kizuri uwekezaji wetu hautakuwa wa ujanja ujanja kama wa Simba,wakiulizwa bilioni 20 zipo wapo hakuna anayejua zilipo,utasikia sisi tunataka furaha tu.
Tusome kitabu ili tujielimishe tusije tukawa kama mikia isiyojua chochote kuhusu uwekezaji wao.
Sina hofu wala shaka safari hi Yanga tutabadilisha mfumo na tutapata mwekezaji mzuri na msimu ujao Ya nga bingwa.
Daima mbele nyuma mwiko.
Idumu timu ya wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mabadiliko yatakayofanyika pale Yanga yatawaumbua mo na mikia wote
 
Huyu ndio mbumbumbu kweli yaani mtu achapishe kitabu halafu atoe bure hizi akili za wapi badala ya kumwambia mwekezaji wao aweke mzigo mezani wa b20 kabaki kupiga chenga
 
nilikua nasikia wananchi wanalalama "hatumtaki Msola, yeye ni Simba kabisa"[emoji16][emoji16]



"Not everything is for everybody"
 
Back
Top Bottom