Yanga kufungwa na Zanaco kumerahisisha kazi ya kocha Nabi

Yanga kufungwa na Zanaco kumerahisisha kazi ya kocha Nabi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Yanga kufungwa na Zanaco wachezaji kumeondoa mapema kiburi cha wachezaji na kujiona mafundi.

Sasa hivi kocha ana kazi rahisi kwenye mazoezi maana wachezaji wote walishushuliwa mbele ya halaiki ya wanayanga.

Nadhani wachezaji watakuwa makini kumsikiliza mwalimu ili kuepuka aibu kama Ile isiwakute kwenye mechi za mashindano. Kama wangeifunga Zanaco wangebweteja.
 
Yanga walifungwa kwasababu uwezo wao ni mdogo sana. Zanaco sio wapolepole.
kocha Nabi amesema muunganiko ni mpaka miezi mitatu.
Tutaona Tarehe 25/9 kwenye mechi ya Ngao ya Jamii.Kati ya Yanga na Simba nani kaunganika vizuri.Zimebaki takribani wiki 3,Muda utasema manake mmezidi kuwa na makelele,tumewachoka mtaufyaya muda si mrefu
 
Tutaona Tarehe 25/9 kwenye mechi ya Ngao ya Jamii.Kati ya Yanga na Simba nani kaunganika vizuri.Zimebaki takribani wiki 3,Muda utasema manake mmezidi kuwa na makelele,tumewachoka mtaufyaya muda si mrefu
Mechi ya Kigoma maneno yalikuwa hayhaya kabla ya mechi kuanza.
Mpira [emoji968] unamatokeo matatu usijiwekee asilimia mia kushinda
 
Tutaona Tarehe 25/9 kwenye mechi ya Ngao ya Jamii.Kati ya Yanga na Simba nani kaunganika vizuri.Zimebaki takribani wiki 3,Muda utasema manake mmezidi kuwa na makelele,tumewachoka mtaufyaya muda si mrefu
Kocha Nabi kasema muunganiko wa timu bado mpaka ipite miezi mitatu.
Wakati mnaunganishwa na kocha mtakua mshapigwa mechi nyingi na cafcl mtakua mshatolewa.
 
Kipigo cha ile mechi kitawatesa sana!
Acheni kujifariji kwa maneno jipangeni tarehe 25 msije a visingizio vingine!
 
Back
Top Bottom