Yanga: kuifundisha Simba jinsi ya kushinda popote

Yanga: kuifundisha Simba jinsi ya kushinda popote

"CHUKUENI KARATASI NA KALAMU

Njooni mjifunze namna ya kushinda mechi popote, achaneni na Mpira wa kizamani eti Kila mtu ashinde kwake,

Ndani ya msimu mmoja 2022-2023 Yanga wameshinda michezo yao Kwenye ardhi ya mataifa matano tofauti tofauti

1. 𝗧𝗨𝗡𝗜𝗦𝗜𝗔 [emoji1250]
2. 𝗖𝗢𝗡𝗚𝗢 [emoji1078]
3. 𝗞𝗨𝗦𝗜𝗡𝗜[emoji1221]
4. 𝗡𝗜𝗚𝗘𝗥𝗜𝗔 [emoji1184]
5. 𝗔𝗟𝗚𝗘𝗥𝗜𝗔[emoji1026]

Hii ndiyo Yanga ya kizazi cha dhahabu, Yanga yakukaa na wajukuu zako unasimlia wanasisimka, Wala hutumii nguvu kujieleza mara uingie Google kugoole 1993 ukakariri Kwanza ndipo uje usimulie za akina abunwasi huko, mara ilikuwa hivi, zikaja zikazungukia kushoto na kulia alaaàa!!
Twaa mataji weka rekodi kubwa kubwa usipate tabu kujieleza" @williamnsulwa

#FutbalPlanetUpdates
#TheWalkingMedia
#CTFPMView attachment 2645427
Hiko ndicho kilichobaki!? Kwa hiyo Simba ajifunze kufungwa hatua ya awali klabu bingwa ili aangukie shirikisho akacheze na KMC na Biashara za Uarabuni!?
 
"CHUKUENI KARATASI NA KALAMU

Njooni mjifunze namna ya kushinda mechi popote, achaneni na Mpira wa kizamani eti Kila mtu ashinde kwake,

Ndani ya msimu mmoja 2022-2023 Yanga wameshinda michezo yao Kwenye ardhi ya mataifa matano tofauti tofauti

1. 𝗧𝗨𝗡𝗜𝗦𝗜𝗔 [emoji1250]
2. 𝗖𝗢𝗡𝗚𝗢 [emoji1078]
3. 𝗞𝗨𝗦𝗜𝗡𝗜[emoji1221]
4. 𝗡𝗜𝗚𝗘𝗥𝗜𝗔 [emoji1184]
5. 𝗔𝗟𝗚𝗘𝗥𝗜𝗔[emoji1026]

Hii ndiyo Yanga ya kizazi cha dhahabu, Yanga yakukaa na wajukuu zako unasimlia wanasisimka, Wala hutumii nguvu kujieleza mara uingie Google kugoole 1993 ukakariri Kwanza ndipo uje usimulie za akina abunwasi huko, mara ilikuwa hivi, zikaja zikazungukia kushoto na kulia alaaàa!!
Twaa mataji weka rekodi kubwa kubwa usipate tabu kujieleza" @williamnsulwa

#FutbalPlanetUpdates
#TheWalkingMedia
#CTFPMView attachment 2645427
Safi sana
 
"CHUKUENI KARATASI NA KALAMU

Njooni mjifunze namna ya kushinda mechi popote, achaneni na Mpira wa kizamani eti Kila mtu ashinde kwake,

Ndani ya msimu mmoja 2022-2023 Yanga wameshinda michezo yao Kwenye ardhi ya mataifa matano tofauti tofauti

1. 𝗧𝗨𝗡𝗜𝗦𝗜𝗔 [emoji1250]
2. 𝗖𝗢𝗡𝗚𝗢 [emoji1078]
3. 𝗞𝗨𝗦𝗜𝗡𝗜[emoji1221]
4. 𝗡𝗜𝗚𝗘𝗥𝗜𝗔 [emoji1184]
5. 𝗔𝗟𝗚𝗘𝗥𝗜𝗔[emoji1026]

Hii ndiyo Yanga ya kizazi cha dhahabu, Yanga yakukaa na wajukuu zako unasimlia wanasisimka, Wala hutumii nguvu kujieleza mara uingie Google kugoole 1993 ukakariri Kwanza ndipo uje usimulie za akina abunwasi huko, mara ilikuwa hivi, zikaja zikazungukia kushoto na kulia alaaàa!!
Twaa mataji weka rekodi kubwa kubwa usipate tabu kujieleza" @williamnsulwa

#FutbalPlanetUpdates
#TheWalkingMedia
#CTFPMView attachment 2645427
Mnafarijiana sana baada ya kupoteza pole mmelowaaq
 
Inabidi timu zijiwekeze,kushinda kote,Yanga angeshinda Dar ubingwa ungekuwa ni wake,ushindi wa away unakuwa hauna maana kama haukupi kitu.

Yanga pia ina cha kujifunza kutoka kwa Simba kwa kuwa na uhakika wa kushinda mechi za nyumbani walau kwa 80%
 
Kuna U-TURN mpaka unajiuliza inawezekanaje?

Imagine kutoka kuwa wa kwanza kuleta kombe nchini mpaka kushinda ugenini. Sijui ni yale mafataki yapo vichwani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Wewe limbukeni hunashabikia wachawi
Badilika kijana hizii sik zama za khchawi

Wewe kombe liko wapi msimu huu..
Hivi mliopoanza msimu mlienda wapi na wapi kuweka kambi??
Wewe usiyejua tofauti kati ya CUF na CAF ni kilaza,mshamba na limbukeni mkubwa hata watopolo wenzako wanakucheka.
 
1900fc73-440f-4c99-9f3c-d7b53724b4ad.jpg
 
Hiko ndicho kilichobaki!? Kwa hiyo Simba ajifunze kufungwa hatua ya awali klabu bingwa ili aangukie shirikisho akacheze na KMC na Biashara za Uarabuni!?
Hapana mkuu... wajifunze kushinda ugenini Kwa waarabu
 
Back
Top Bottom