Hawataki kusikia hiloo..linawaima sanaaaaIssue ipo hiviiii
simba ana point 28. Yanga ana point 24. Yanga akiingia makundi kesho anapata point 10 jumla anakua na 34. Simba akifuzu na yeye kombe la looser ( wamama) anapata point 2.5 so anakua na point 30.5 so yanga anakua juu ya simba
Hizo hesabu ninamashaka nazoIssue ipo hiviiii
simba ana point 28. Yanga ana point 24. Yanga akiingia makundi kesho anapata point 10 jumla anakua na 34. Simba akifuzu na yeye kombe la looser ( wamama) anapata point 2.5 so anakua na point 30.5 so yanga anakua juu ya simba
Kama hujui kitu nyamaza we nanga ,nani alikwambia kuingia makundi ccl ni point 10Issue ipo hiviiii
simba ana point 28. Yanga ana point 24. Yanga akiingia makundi kesho anapata point 10 jumla anakua na 34. Simba akifuzu na yeye kombe la looser ( wamama) anapata point 2.5 so anakua na point 30.5 so yanga anakua juu ya simba
Unateseka ukiwa wapi?Kumbe mnaumia Simba anapowadi kwenye hili swala la points ila mnajifanya sizitaki mbichi hizi.
Mashabiki wa utopolo utawasikia "rank haichezi mechi" "muwe wa 7 mtajua wenyewe,sisi hatujali na rank zenu za mchongo"
Leo "BREAKING NEWS:YANGA KUIPITA SIMBA BLA BLA BLA.."
Nan aliwatuma kucheza kombe la wamamaKumbe mnaumia Simba anapowadi kwenye hili swala la points ila mnajifanya sizitaki mbichi hizi.
Mashabiki wa utopolo utawasikia "rank haichezi mechi" "muwe wa 7 mtajua wenyewe,sisi hatujali na rank zenu za mchongo"
Leo "BREAKING NEWS:YANGA KUIPITA SIMBA BLA BLA BLA.."
Bold kombe la wamamaπIssue ipo hiviiii
simba ana point 28. Yanga ana point 24. Yanga akiingia makundi kesho anapata point 10 jumla anakua na 34. Simba akifuzu na yeye kombe la looser ( wamama) anapata point 2.5 so anakua na point 30.5 so yanga anakua juu ya simba
Hawatoboi hawa kengeUnateseka ukiwa wapi?
Vichaka vyote mlivyokuwa mnavitumia kujifichia vinavyekwa;
1. Mlisema kombe la luzaaaaa... Leo mpo wapi?
2. Mlisema nyie ni wa kimataifa, leo hadi coast na Azam nao ni wa kimataifa.
3. Na sasa kichaka cha rank kipo mbioni kufyekwa
NB: Kipimo cha kombe la luzaa kwa taifa hili la Tanzania ni kufika fainali. Kesho tutawaona..!!
Wakati mwingine, muwe na aibu japo kidogo, na muwe na heshima. Kazi kusifia vyenu, hata vinukavyo harufu mbaya!Issue ipo hiviiii
simba ana point 28. Yanga ana point 24. Yanga akiingia makundi kesho anapata point 10 jumla anakua na 34. Simba akifuzu na yeye kombe la looser ( wamama) anapata point 2.5 so anakua na point 30.5 so yanga anakua juu ya simba
Point inatolewa baada ya kutamatika hatua ya makundiIssue ipo hiviiii
simba ana point 28. Yanga ana point 24. Yanga akiingia makundi kesho anapata point 10 jumla anakua na 34. Simba akifuzu na yeye kombe la looser ( wamama) anapata point 2.5 so anakua na point 30.5 so yanga anakua juu ya simba