Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
π§π¨π¦ππππ₯π
Kumbe Makolo wanaumia hivyo kisa Young Africans Sports Club kama tu kesho akitinga makundi CAF CHAMPIONS LEAGUE.Anyway Yanga amefuzu mara moja tu Makundi Ligi ya Mabingwa na amecheza Fainali moja tu CAF CONFEDERATION CUP.
Ndani ya miaka 2 tu.Ila Kesho atakuwa juu kwenye Rank za CAF dhidi ya waliocheza robo fainali 5 Kibonde wa Yanga toka 1936.
Yanga kweli wameamua kuliteka Soka la Tanzania hadi nje ya mipaka ya Tanzania.[emoji110] Hongereni sana Wananchi wenzangu.
Operation fyeka vichaka vya makolo
Kumbe Makolo wanaumia hivyo kisa Young Africans Sports Club kama tu kesho akitinga makundi CAF CHAMPIONS LEAGUE.Anyway Yanga amefuzu mara moja tu Makundi Ligi ya Mabingwa na amecheza Fainali moja tu CAF CONFEDERATION CUP.
Ndani ya miaka 2 tu.Ila Kesho atakuwa juu kwenye Rank za CAF dhidi ya waliocheza robo fainali 5 Kibonde wa Yanga toka 1936.
Yanga kweli wameamua kuliteka Soka la Tanzania hadi nje ya mipaka ya Tanzania.[emoji110] Hongereni sana Wananchi wenzangu.
Operation fyeka vichaka vya makolo