Yanga kujenga Uwanja wa kisasa eneo la Mto Msimbazi!

Yanga kujenga Uwanja wa kisasa eneo la Mto Msimbazi!

😃😃 uwanja kwa hivi vilabu viwili haita kaa itokee. Kinachoendelea ni drama tu, mwakani tena watakizungumzia.
 
Siyo kuwa wameomba, bali waliomba siku nyingi sana kuanzia siku ile ya dinner ya Ikulu.

Leo hii waziri kathibitisha rasmi kuwa serikali imewaruhusu Yanga kujenga uwanja huo lakini kwa masharti mawili (a) Ujenzi uwe wa kisasa ulingane na malengo ya mpango wa world bank, (b) Ujenzi ukamilike on time.
Yeah....
 
Yanga wanaenda kinyume nyume kwenye geto la popobawa. Mto msimbazi ni mtiririko wa Simba , mnyama mkali mwituni .
 
Back
Top Bottom