Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tu hujaniomba radhi ya kutokuwa na pesa ya kukununulia hata wine au maji, najiaminije kuja JF kujaza savers za Watu tu bure?Haya mtani....japo mm sinywi bia...just wine au maji...au hela huna ya wine?
Kinachohojiwa hapa ni double standard
Yawezekana mimi nina taarifa sahihi kuliko wewe. Endelea kutukana tu afu tuone.Wewe ndiyo unayesema hivyo Yanga walipolalamika kuhusu Inonga kamati ilisema hawezi kupewa adhabu mara kwa maana ya hiyo kadi ya njano kwa nani mkweli wewe madunduka au kamati?
Ile likuwa ngao ya jamiiAzam confederation......lkn Ligue zote zipo chini ya Body ya league
😀 😀Bado tu hujaniomba radhi ya kutokuwa na pesa ya kukununulia hata wine au maji, najiaminije kuja JF kujaza savers za Watu tu bure?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Leta...na jezi ya 5....2 nilisema ntakupa for free[emoji23][emoji23]