ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Wengi hawataamini lakini ukweli ndio huu,
Hali ya kukosa mabao kwa Yanga leo imeingia katika mechi dhidi ya Tanzania Prison, kabla ya hapo zimekuwepo mechi kadhaa ambapo Yanga mbali ya kucheza vizuri na kupata nafasi mipira imekua haiingii golini,
Tukianza na mchezo baina ya Yanga na Simba washambuliaji wa Yanga wameshindwa nafasi za wazi kabisa kuingiza mpira wavuni, Mfano zile chance za Denis Nkane
Mechi na Jkt Ruvu pale Kigoma pia goli lilionekana zito mpira kuvuka na kuingia ndani ya nyavu, ikumbukwe siku ile Jesus Moroco alikosa nafasi mbili tatu za wazi,Fiston Mayele aligongesha bomba mara mbili na nafasi nyingine mpira alioupiga ukaenda nyavu ndogo
Mechi hii na Prison Mayele anashindwa kufunga nafasi za wazi ikiwemo penati, Faisal naye..Makambo eti anashindwa kuusukumia ndani mpira japo kwa kuugusa tu!
Ukichukulia ki kawaida utaona labda ni kawaida lakini ukifikiri deep utagundua hapo kuna mikono ya kishirikina tu ambapoo kuna watu ama kikundi cha watu hawapendi na hawataki Yanga iendelee kushinda game zake zilizobaki
Mayele si wa kiwango hicho na hili linajulikana.Yaani hadi unaona wachezaji wanapigwa butwaa!
Ila tunasema mwisho wa siku mchawi atajulikana.
Hali ya kukosa mabao kwa Yanga leo imeingia katika mechi dhidi ya Tanzania Prison, kabla ya hapo zimekuwepo mechi kadhaa ambapo Yanga mbali ya kucheza vizuri na kupata nafasi mipira imekua haiingii golini,
Tukianza na mchezo baina ya Yanga na Simba washambuliaji wa Yanga wameshindwa nafasi za wazi kabisa kuingiza mpira wavuni, Mfano zile chance za Denis Nkane
Mechi na Jkt Ruvu pale Kigoma pia goli lilionekana zito mpira kuvuka na kuingia ndani ya nyavu, ikumbukwe siku ile Jesus Moroco alikosa nafasi mbili tatu za wazi,Fiston Mayele aligongesha bomba mara mbili na nafasi nyingine mpira alioupiga ukaenda nyavu ndogo
Mechi hii na Prison Mayele anashindwa kufunga nafasi za wazi ikiwemo penati, Faisal naye..Makambo eti anashindwa kuusukumia ndani mpira japo kwa kuugusa tu!
Ukichukulia ki kawaida utaona labda ni kawaida lakini ukifikiri deep utagundua hapo kuna mikono ya kishirikina tu ambapoo kuna watu ama kikundi cha watu hawapendi na hawataki Yanga iendelee kushinda game zake zilizobaki
Mayele si wa kiwango hicho na hili linajulikana.Yaani hadi unaona wachezaji wanapigwa butwaa!
Ila tunasema mwisho wa siku mchawi atajulikana.