Yanga kumjibu Jemedari ni kumsaidia matibabu yake.

Yanga kumjibu Jemedari ni kumsaidia matibabu yake.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Katika fani ya magonjwa ya akili yapo magonjwa kama vile msongo wa mawazo (stresses) na sonona (depression) ambayo tiba yake kuu ni kutoa ya moyoni hadharani au kwa mtu unaemwamini. Tiba hii kitaalam inaitwa "mental ventilation" au mental catharsis. Unapokuwa unaongoza watu hakikisha kuwa unafanya vikao vya mara kwa mara na watu wako na uwape muda wa kutosha watoe madukuduku yao kuhusu kazi, maisha na mahusiano kazini. Hii itasaidia kuimarisha afya ya watu wako na ufanisi kazini.

Jemedari anaiandama Yanga sio kwa bahati mbaya tu, nadhani anaumwa (tresses au sonona) kutokana na mambo yenye uhusiano na Yanga. Inawezekana anayo malalamiko ambayo hayatimizwi au hayakutimizwa huko nyuma ambayo yalimuudhi, yalimtia hasara au yalimuaibisha yanayohusiana na Yanga. Hivyo anakabiliana nayo kwa kuisema yanga kama sehemu ya tiba; mental ventilation (kujijambia jiwe).

Tiba yake hii itakamilika kama akiona Yanga wanahangaika na ventilation anayoifanya kila siku. Ili kumuongezea mauvumivu ni kuacha kuhangaika na kumjibu kila anachosema, badala yake ongezeni juhudi uwanjani matokeo ya Yanga yawe mazuri kila siku. Maana mtu unaemhisi anatembea na mkeo (mbaya wako) hupendi achaguliwe kuwa diwani (hupendi afanikiwe).

Kuendelea kumjibu ni kunasa kwenye mtego wake.
 
We mwenyewe mgonjwa team la utopolo kila siku ni kutakatisha mechi mara gsm adhamini league mara adhamini team sita kama sio njia ya kutengeneza rushwa ni Nini
ooooh! dawa ya hilo ni mwamed nae adhamini timu zilizobaki.
 
We mwenyewe mgonjwa team la utopolo kila siku ni kutakatisha mechi mara gsm adhamini league mara adhamini team sita kama sio njia ya kutengeneza rushwa ni Nini
Mkimsikiliza kwa kumwangalia usoni jemedari wakati akiizungumzia Yanga utaona chuki kubwa sana kwenye body languages (mannerism); kifupi ana retaliation gesture. Kama unataka kuwa mpuuzi endelea kumjibu kila kitu anachosema kuhusu Yanga. Anahitaji msaada wa haraka ili kumponya, hasa kama Yanga itachukua ubingwa au ikiifunga simba tena 8 march 2025.
 
Katika fani ya magonjwa ya akili yapo magonjwa kama vile msongo wa mawazo (stresses) na sonona (depression) ambayo tiba yake kuu ni kutoa ya moyoni hadharani au kwa mtu unaemwamini. Tiba hii kitaalam inaitwa "mental ventilation" au mental catharsis. Unapokuwa unaongoza watu hakikisha kuwa unafanya vikao vya mara kwa mara na watu wako na uwape muda wa kutosha watoe madukuduku yao kuhusu kazi, maisha na mahusiano kazini. Hii itasaidia kuimarisha afya ya watu wako na ufanisi kazini.

Jemedari anaiandama Yanga sio kwa bahati mbaya tu, nadhani anaumwa (tresses au sonona) kutokana na mambo yenye uhusiano na Yanga. Inawezekana anayo malalamiko ambayo hayatimizwi au hayakutimizwa huko nyuma ambayo yalimuudhi, yalimtia hasara au yalimuaibisha yanayohusiana na Yanga. Hivyo anakabiliana nayo kwa kuisema yanga kama sehemu ya tiba; mental ventilation (kujijambia jiwe).

Tiba yake hii itakamilika kama akiona Yanga wanahangaika na ventilation anayoifanya kila siku. Ili kumuongezea mauvumivu ni kuacha kuhangaika na kumjibu kila anachosema, badala yake ongezeni juhudi uwanjani matokeo ya Yanga yawe mazuri kila siku. Maana mtu unaemhisi anatembea na mkeo (mbaya wako) hupendi achaguliwe kuwa diwani (hupendi afanikiwe).

Kuendelea kumjibu ni kunasa kwenye mtego wake.
Media karibu zote wamezungumza kuhusu yanga kupanga matokeo unakariri maneno ya lile kundi la wachawi na makanzu yao ..kuwa alitaka apewe ukatibu maneno ya kuokoteza vijiwe vya kahawa nawe unataka kujifanya unatoa uchambuzi wako!
 
Kuna mahali unamkosea jemedari,hili la Singida na Yanga limeibua mengi sana na wengi wameliongelea.

Nawataja hapa chini

1.Aliekua kocha wa Singida
2.Jemedari said
.3.Nasri Halfani
4.Clouds Fm(sports extra)
6.Hans rafael

Je hao wote wanashida na Yanga Au wanatafuta mental Ventilation?

Weka ushabiki pembeni Kisha andika tena.

Binafsi nilitegemea Singida na Tabora wataleta Chamoto kwa Simba,Yanga na Azam lakini naona Singida hafiki popote kwenye Top 4
 
Katika fani ya magonjwa ya akili yapo magonjwa kama vile msongo wa mawazo (stresses) na sonona (depression) ambayo tiba yake kuu ni kutoa ya moyoni hadharani au kwa mtu unaemwamini. Tiba hii kitaalam inaitwa "mental ventilation" au mental catharsis. Unapokuwa unaongoza watu hakikisha kuwa unafanya vikao vya mara kwa mara na watu wako na uwape muda wa kutosha watoe madukuduku yao kuhusu kazi, maisha na mahusiano kazini. Hii itasaidia kuimarisha afya ya watu wako na ufanisi kazini.

Jemedari anaiandama Yanga sio kwa bahati mbaya tu, nadhani anaumwa (tresses au sonona) kutokana na mambo yenye uhusiano na Yanga. Inawezekana anayo malalamiko ambayo hayatimizwi au hayakutimizwa huko nyuma ambayo yalimuudhi, yalimtia hasara au yalimuaibisha yanayohusiana na Yanga. Hivyo anakabiliana nayo kwa kuisema yanga kama sehemu ya tiba; mental ventilation (kujijambia jiwe).

Tiba yake hii itakamilika kama akiona Yanga wanahangaika na ventilation anayoifanya kila siku. Ili kumuongezea mauvumivu ni kuacha kuhangaika na kumjibu kila anachosema, badala yake ongezeni juhudi uwanjani matokeo ya Yanga yawe mazuri kila siku. Maana mtu unaemhisi anatembea na mkeo (mbaya wako) hupendi achaguliwe kuwa diwani (hupendi afanikiwe).

Kuendelea kumjibu ni kunasa kwenye mtego wake.
Acha Yanga wahangaike Jemedari apone. Kwani wewe hupendi binadamu apone?
 
Media karibu zote wamezungumza kuhusu yanga kupanga matokeo unakariri maneno ya lile kundi la wachawi na makanzu yao ..kuwa alitaka apewe ukatibu maneno ya kuokoteza vijiwe vya kahawa nawe unataka kujifanya unatoa uchambuzi wako!
Kusema Yanga imepanga matokeo ni sawa na kusema kwanini Yanga haikufungwa na singida. Maneno kama hayo lazima yatoke Simba TU sio kwingine. Hivyo kama media zote zinasema hivyo ina maana media zote zina wachambuzi uchwara wa Simba, nothing more nothing less.
 
We mwenyewe mgonjwa team la utopolo kila siku ni kutakatisha mechi mara gsm adhamini league mara adhamini team sita kama sio njia ya kutengeneza rushwa ni Nini
Nyie Mbumbumbu si ndio mlio gomea GSM asiwe mdhamini wa Ligi sasa mnalalamika nini!!
Izo timu zilizo baki ukiondoa anazobdhamini GSM ingefaa MO azi dhamini.
Kama GSM ana dhamini timu Sita mbona Azam anadhamini Ligi yote na Simba hawaku gomea!!
Kama izo timu sita ndizo zinagawa utamu mbona Simba mgawa utamu mkuu kwa Yanga uwa mnaiondoa!!
 
Katika fani ya magonjwa ya akili yapo magonjwa kama vile msongo wa mawazo (stresses) na sonona (depression) ambayo tiba yake kuu ni kutoa ya moyoni hadharani au kwa mtu unaemwamini. Tiba hii kitaalam inaitwa "mental ventilation" au mental catharsis. Unapokuwa unaongoza watu hakikisha kuwa unafanya vikao vya mara kwa mara na watu wako na uwape muda wa kutosha watoe madukuduku yao kuhusu kazi, maisha na mahusiano kazini. Hii itasaidia kuimarisha afya ya watu wako na ufanisi kazini.

Jemedari anaiandama Yanga sio kwa bahati mbaya tu, nadhani anaumwa (tresses au sonona) kutokana na mambo yenye uhusiano na Yanga. Inawezekana anayo malalamiko ambayo hayatimizwi au hayakutimizwa huko nyuma ambayo yalimuudhi, yalimtia hasara au yalimuaibisha yanayohusiana na Yanga. Hivyo anakabiliana nayo kwa kuisema yanga kama sehemu ya tiba; mental ventilation (kujijambia jiwe).

Tiba yake hii itakamilika kama akiona Yanga wanahangaika na ventilation anayoifanya kila siku. Ili kumuongezea mauvumivu ni kuacha kuhangaika na kumjibu kila anachosema, badala yake ongezeni juhudi uwanjani matokeo ya Yanga yawe mazuri kila siku. Maana mtu unaemhisi anatembea na mkeo (mbaya wako) hupendi achaguliwe kuwa diwani (hupendi afanikiwe).

Kuendelea kumjibu ni kunasa kwenye mtego wake.
We nawe utakuwa una ugonjwa wa akili yaan haya yote anayoongelea jemedari na speculations zote kuhusu yanga na upangaji matokeo we unaona ni uzushi tu😂.....
 
Katika fani ya magonjwa ya akili yapo magonjwa kama vile msongo wa mawazo (stresses) na sonona (depression) ambayo tiba yake kuu ni kutoa ya moyoni hadharani au kwa mtu unaemwamini. Tiba hii kitaalam inaitwa "mental ventilation" au mental catharsis. Unapokuwa unaongoza watu hakikisha kuwa unafanya vikao vya mara kwa mara na watu wako na uwape muda wa kutosha watoe madukuduku yao kuhusu kazi, maisha na mahusiano kazini. Hii itasaidia kuimarisha afya ya watu wako na ufanisi kazini.

Jemedari anaiandama Yanga sio kwa bahati mbaya tu, nadhani anaumwa (tresses au sonona) kutokana na mambo yenye uhusiano na Yanga. Inawezekana anayo malalamiko ambayo hayatimizwi au hayakutimizwa huko nyuma ambayo yalimuudhi, yalimtia hasara au yalimuaibisha yanayohusiana na Yanga. Hivyo anakabiliana nayo kwa kuisema yanga kama sehemu ya tiba; mental ventilation (kujijambia jiwe).

Tiba yake hii itakamilika kama akiona Yanga wanahangaika na ventilation anayoifanya kila siku. Ili kumuongezea mauvumivu ni kuacha kuhangaika na kumjibu kila anachosema, badala yake ongezeni juhudi uwanjani matokeo ya Yanga yawe mazuri kila siku. Maana mtu unaemhisi anatembea na mkeo (mbaya wako) hupendi achaguliwe kuwa diwani (hupendi afanikiwe).

Kuendelea kumjibu ni kunasa kwenye mtego wake.
Ikipita siku hamjazungumzia Yanga hampati hela au 😏😏😏
 
Mwenye stress anatumia stress zake kuzungumzia stress za mwenzie.Ni mastresses tu.
Yanga inazifunga zote zilizodhaminiwa na zisizodhaminiwa na GSM. Yanga na Azam hazijadhaminiwa na GSM lakini zinapokea kichapo pia. Hapo veepe!! Ni vigumu kuhusisha GSM na kufungwa maana hakuna pattern Wala correlation ya kufungwa na Yanga kati ya zilizodhaminiwa na zisizodhaminiwa na GSM.
 
We mwenyewe mgonjwa team la utopolo kila siku ni kutakatisha mechi mara gsm adhamini league mara adhamini team sita kama sio njia ya kutengeneza rushwa ni Nini
Leo huko luangwa mmefanya nini?..MBUMBUMBU WAPUMBAVU WAKUBWA nyinyi.
 
Yanga inazifunga zote zilizodhaminiwa na zisizodhaminiwa na GSM. Yanga na Azam hazijadhaminiwa na GSM lakini zinapokea kichapo pia. Hapo veepe!! Ni vigumu kuhusisha GSM na kufungwa maana hakuna pattern Wala correlation ya kufungwa na Yanga kati ya zilizodhaminiwa na zisizodhaminiwa na GSM.
Yanga ya mwaka Jana na juzi SI hii
 
Hahaha we mwenyewe ngojwa wa akil kwan hujiyoni chief ndio mana mnaitwa nyuma mwiko mwenzenu zungu alisema nyuma mwiko wenye akili wawili tu baba yake na jk only
 
Hahaha we mwenyewe ngojwa wa akil kwan hujiyoni chief ndio mana mnaitwa nyuma mwiko mwenzenu zungu alisema nyuma mwiko wenye akili wawili tu baba yake na jk only
Hebu elezea namna Namungo walivyopewa Ile red ♦️ card na mwamuzi
 
Back
Top Bottom