JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Toa kwanza huo mwiko hapo nyuma.Hebu elezea namna Namungo walivyopewa Ile red ♦️ card na mwamuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa kwanza huo mwiko hapo nyuma.Hebu elezea namna Namungo walivyopewa Ile red ♦️ card na mwamuzi
Jemedari akaandika bandiko kabisa kuhusu singida na Yanga kana kama timu yake ya JKT haifanyi rotations kwa wachexaji wao. Kocha wa singida ana chuki ya kufukuzwa, hao wengine wangependa Yanga ifungwe ili kuisaidia simba. kumebaki nini hapo tena?. Mbona Simba waliipokonya Coastal union kocha wao Mgunda kihuni kabisa hakuna aliyejadili.Kuna mahali unamkosea jemedari,hili la Singida na Yanga limeibua mengi sana na wengi wameliongelea.
Nawataja hapa chini
1.Aliekua kocha wa Singida
2.Jemedari said
.3.Nasri Halfani
4.Clouds Fm(sports extra)
6.Hans rafael
Je hao wote wanashida na Yanga Au wanatafuta mental Ventilation?
Weka ushabiki pembeni Kisha andika tena.
Binafsi nilitegemea Singida na Tabora wataleta Chamoto kwa Simba,Yanga na Azam lakini naona Singida hafiki popote kwenye Top 4
Hakatazwi kuandika,mbona nyie na Singida mmeandika barua ndefu kumchafua kocha.Jemedari akaandika bandiko kabisa kuhusu singida na Yanga kana kama timu yake ya JKT haifanyi rotations kwa wachexaji wao. Kocha wa singida ana chuki ya kufukuzwa, hao wengine wangependa Yanga ifungwe ili kuisaidia simba. kumebaki nini hapo tena?. Mbona Simba waliipokonya Coastal union kocha wao Mgunda kihuni kabisa hakuna aliyejadili.
Hakatazwi kuandika kama sehemu ya tiba yake, lakini kosa ni Yanga kujihangaisha kumjibu mtu anaejaribu kujitibu kila anachoandika na kusema. Shida iko kwa wanaYanga na sio Jemedari.Hakatazwi kuandika,mbona nyie na Singida mmeandika barua ndefu kumchafua kocha.
Hakatazwi kuandika kama sehemu ya tiba yake, lakini kosa ni Yanga kujihangaisha kumjibu mtu anaejaribu kujitibu kila anachoandika na kusema. Shida iko kwa wanaYanga na sio Jemedari.
Nonono!! Nasil, Hans, lwambano na wengine wao ni washabiki wa Simba kindaki, hivyo wanalalamika kama washabiki wa Simba. Ila jemedari ana kitu watalaam wa magonjwa ya akili wanaita "obsession compulsion" ya kuisema Yanga katika Kila moment, na ameganda hapohapo(catatonically) Anakosoa kwa ubaya na anatafuta mabaya TU kuiumiza Yanga kama sehemu ya tiba yake. Bahati mbaya sana kwake hajui kuwa kwa kufanya hivyo Yanga inaimalika sana. Yanga inayafanyia kazi malalamiko yake ni kuongeza ubora zaidi. Hata msimu huu Yanga itakuwa bingwa Tena.Shida iko kwako,Rais wa Yanga umeona akilalamika?
Wewe na Rais wa Yanga nani anawajibika Yanga ikihujumiwa au kupoteza?
Je Hans Rafael na Nasib Halfan nae anaumwa,
Je Clouds media nao wanaumwa ?
Tangu lini kuisema au kuiandika kibaya Yanga ni tiba?