Yanga kunyimwa penalti

exalioth

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
2,263
Reaction score
3,897
Mwendelezo wa mgomo malefa cheki hii Yanga kunyimwa penati waziwazi.

Your browser is not able to display this video.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marefa hawana namna wanaweza fanya wanafuata maelekezo waliyopewa na jamaa wa TFF.
 
Makosa ni kati ya nguzo muhimu zinazoshikilia soka, pia unaweza ukasema kati ya misingi inayoibeba soka, Makosa ni mojawapo.

Hivyo basi hilo kosa hapo siyo la kumlaumu kabisa referee, kama binaadam ni rahisi sana kwa refa kufanya maamuzi ya kimakosa katika mazingira yale.
 
Braza Embu paki pembeni uandike vizuri
 
Goli la lipuli lilikuwa wazi kabisa ila mkabebwa acheni kutuzuga
 
Sasa ile imekuaje kona wakati ilitakiwa iwe free kick? Kweli mwamauzi pale alifanya makusudi kuvuruga ile penalt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…