OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Timu underdog inaipangia CAF ianzie ugenini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni uthibitisho wa hii kauli ya , zeruzeru
Si unakumbuka yule shabiki wao aliyesema Real Madrid ya Ufaransa. Yaani hawa ni nyani kama alivyosema Luc[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na huyo ni kiongozi mkubwa tu kwenye timu, imagine shabiki wa kawaida wa hiyo timu aliepo hapa Utezi Uyole ufahamu wake ukoje.
Nyie mtapigwa nje ndani hadi mrushe maji simbilisi nyieTunaanzia ugenini na tunawafumua mwaka huu makolo mtakuwa mnakuja kutushangilia kila hatua.
Kama miji huifahamu usitaje. Utezi ndio wapi,kenge wewe?. Halafu kwa kusikia kwako unafikiri Itezi uyole ni kijijini?. Hayo ni maeneo katika jiji la mbeya. Asilimia kubwa pia wana simu janja hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na huyo ni kiongozi mkubwa tu kwenye timu, imagine shabiki wa kawaida wa hiyo timu aliepo hapa Utezi Uyole ufahamu wake ukoje.
Kwanza, kwenye keyboard ya simu yangu irabu 'U' na 'I' zipo karibu so hiyo ni typing error.Kama miji huifahamu usitaje. Utezi ndio wapi,kenge wewe?. Halafu kwa kusikia kwako unafikiri Itezi uyole ni kijijini?. Hayo ni maeneo katika jiji la mbeya. Asilimia kubwa pia wana simu janja hapo
kazi ya kuja kushangilia taifa huwa ni lenu maana hamfikagu popote.Tunaanzia ugenini na tunawafumua mwaka huu makolo mtakuwa mnakuja kutushangilia kila hatua.
kijiji iwe Mbeya halafu wasiwe washamba wakati mbeya yenyewe washambaKama miji huifahamu usitaje. Utezi ndio wapi,kenge wewe?. Halafu kwa kusikia kwako unafikiri Itezi uyole ni kijijini?. Hayo ni maeneo katika jiji la mbeya. Asilimia kubwa pia wana simu janja hapo
Jitu linalewa mataputapu tumbo limejaa minyoo