Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na umeshindwa kujibu hoja zao. mnatia aibu nchiNaona kundi kubwa la watu kwenye huu uzi wakijitekenya, na kucheka wenyewe! Nadhani kuna tatizo mahali! Siyo bure.
Sio kweli wanamlisha maneno tambi fc
Mkuu hapa bila kupepesa macho Fred kachemsha na ameifedhehesha Yanga. Nafikiri amesema haya maneno kichwani amepakia haya mauchafuNaona kundi kubwa la watu kwenye huu uzi wakijitekenya, na kucheka wenyewe! Nadhani kuna tatizo mahali! Siyo bure.
Hana ukubwa wowte kutoka makamu mwenyekiti hadi kuwa chawa wa hersi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na huyo ni kiongozi mkubwa tu kwenye timu, imagine shabiki wa kawaida wa hiyo timu aliepo hapa Itezi Uyole ufahamu wake ukoje.
Maneno ya Haji hayakupotea bure. Shuhudia sasa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uto katika ubora wao. Loooh!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na huyo ni kiongozi mkubwa tu kwenye timu, imagine shabiki wa kawaida wa hiyo timu aliepo hapa Itezi Uyole ufahamu wake ukoje.
So kila kitu unachukulia serious utakufa mapema DADA
Mkuu kumbe uko itezi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na huyo ni kiongozi mkubwa tu kwenye timu, imagine shabiki wa kawaida wa hiyo timu aliepo hapa Itezi Uyole ufahamu wake ukoje.
akili ni zilezile tu,tofauti ya mashabiki oya oya na viongozi hakunaSo kila kitu unachukulia serious utakufa mapema DADA
#dada
Nilikua hapo 2012 ChiefMkuu kumbe uko itezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jitu linalewa mataputapu tumbo limejaa minyoo
Huyu wa kukaja anaiabisha Mbeya